Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wakuu mzigo (phone case) tayari nimeupokea posta, bila kuwa na sanduku niliandika namba ya simu tu na nikaudirect posta

Sijalipa chochote
IMG_20190509_135645_846.jpeg
 
Nimetumiwa msg na posta nikachukuwe case yangu ya redmi note 7
Ila redmi yenyewe niliiyoiagizia case imekutwa na majanga [emoji28] so naenda kukaa na kava ndani

Ila nimeona HIGHLIFE wanauza Bei nzuri tu tatizo hawana hitaji langu
wanayo NOTE 7 4gb/64 kwa laki 6 TZS

Mimi nilihitaji REDMI NOTE 7 PRO 6GB/128GB, so najipanga niagize nyingine
Ebu tuma hiyo case picha yake kuna mtu ana note 7 tunaweza fanya kitu kufa kufaana.
 
Kweli mkuu!!!
Mimi hapa 3 yrs nimekomaa na op2!!
xiaomi huwa nawachukulia wadau tu
Mkuu nimegundua kuipeleka kwa fundi ndo sababu ya simu yangu kupungua uwezo
Ningejua mapema ningeifungua na kuiweka kwenye mchele hata wiki nzima[emoji26]
 
Tunatofautiana vipato kaka! Acha tu wenye pesa wafanye yao! "Kila mtu ana haki ya kutumia pesa yake kwa wakati wake".
Sikatai kutumia pesa sema pesa ina tabia yake ,na heshima yake ,sikatai mtu asinunue chenye ubora ,wazo langu ni kwamba usione kila toleo ukaona niliyonayo haifai ,kuna ule msemo chakale ni dhahabu hivyo kitunze tu .
 
Pia kila mtu ana starehe yake mimi starehe yangu ni kukamata simu yenye uwezo mkubwa kuendana na teknolojia ya hapa nilipo
Nikinunua pombe roho inaniuma niko radhi nisile vinono ila simu iendane na teknolojia ninayoipitia kwenye shughuli zangu
Tunatofautiana vipato kaka! Acha tu wenye pesa wafanye yao! "Kila mtu ana haki ya kutumia pesa yake kwa wakati wake".
 
Ndugu zangu tutamaliza pesa kwa manunuzi ya simu maanw kila kukicha wanaleta vitu vipya na kututeka sisi ,tubadilike kaa na simu mpk ife ndo ujikwamue upya
Wengine humu naamini wafanya biashara Mkuu aidha wanawaagizia watu au wanauza bila shaka.
 
Sikatai kutumia pesa sema pess ina tabia yake ,na heshima yake ,sikatao mtu asinunue chenye ubora ,wazo langu ni kwamba usione kila toleo ukaona niliyonayo haifai ,kuna ule msemo chakale ni dhahabu hivyo kitunze tu .

Hapo nakuunga mkono kwa asilimia nyingi. Hata mie kuna simu zangu za kale zipo hapa,... Ila ndio hivyo mimi mara nyingi nikitaka ku upgrade simu huwa nauza au exchange, ilimradi tu nisipate hasara. Issue inakuja pale ambapo simu yako pendwa imepata ajali, inabidi ununue simu nyingine ku replace iliyoharibika.
 
Hapo nakuunga mkono kwa asilimia nyingi. Hata mie kuna simu zangu za kale zipo hapa,... Ila ndio hivyo mimi mara nyingi nikitaka ku upgrade simu huwa nauza au exchange, ilimradi tu nisipate hasara. Issue inakuja pale ambapo simu yako pendwa imepata ajali, inabidi ununue simu nyingine ku replace iliyoharibika.
Kuhusu hilo sikatai ikitokea basi huna budi kuingia gharama nyingine.
 
Kuhusu hilo sikatai ikotokea basi huna budi kuingia gharama nyingi.
LOL! Sasa mfano nina Samsung Galaxy Note 4 ya mwaka 2014 nimeangusha display imekufa na nimekaa nayo kwa miaka miwili na nusu,... Ku replace original Super AMOLED screen ni 250k,.. na hii 250k ndio bei ya Note 4 kwa sasa. Sasa kipi bora? Kati ya kununua simu mpya au kubadili screen panel kwa bei ya simu mpya!?
 
Back
Top Bottom