BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Mdogo wanngu wa kitanga Mr mobile ndio kanihonga kama shukrani kwa uzi huuu hahaaa
Amina mkuuMkuu wachina inabidi wakupe tuzo, huu uzi una mchango mkubwa kwa watanzania kuzidi kuzitumia hizi simu
Aliexpress wanaandika bei kwa Tsh kama umejisajiliUS $178.99 | Global Rom Xiaomi Redmi Note 7 4GB 64GB Snapdragon 660 Octa Core 48MP Camera 6.3'' Water Drop FHD Screen Mobile Phone QC 4.0
https://s.click.aliexpress.com/e/bM9ylyAy mkuu mr mobile hii mpaka naipata mkononi ni sh ngapi
US $178.99 | Global Rom Xiaomi Redmi Note 7 4GB 64GB Snapdragon 660 Octa Core 48MP Camera 6.3'' Water Drop FHD Screen Mobile Phone QC 4.0
https://s.click.aliexpress.com/e/bM9ylyAy mkuu mr mobile hii mpaka naipata mkononi ni sh ngapi
Aliexpress wanaandika bei kwa Tsh kama umejisajili
kwenye utunzaji wa chaji inategemea na matumizi yako, mfano: apps ulizonazo, ikiwa mtu ana apps 450, 100 zipo online, itachukua mda gani battery kukataa, video quality unazoangalia, na mengineyo, ukitaka kujua vizuri zaidi ingia youtube, utaona jinsi battery ya simu yako inavyotestiwa kitaalamu kabisa.Mzigo wa redmi 7 sio wa kawaida kitu inatunza chaji mpaka nachanganyikiwa Niko online kwa masaa kumi nw mzigo bado haujakata chaji nakupenda Xiaomi forever.Je tufanyaje nasi ili kuweza kuwashawishi wachina watufungulie soko hapa hapa bongo ili tuweze pata bidhaa zote hapa pasipo kuagiza nje
TZS 438957.4
Elfu kumi na tano tu.Pamoja na cost yako ya uagizaji?
Haya nimekupata hakuna shida nitarizama au weka kwa faida ya wanajamiiforum wengine piakwenye utunzaji wa chaji inategemea na matumizi yako, mfano: apps ulizonazo, ikiwa mtu ana apps 450, 100 zipo online, itachukua mda gani battery kukataa, video quality unazoangalia, na mengineyo, ukitaka kujua vizuri zaidi ingia youtube, utaona jinsi battery ya simu yako inavyotestiwa kitaalamu kabisa.
Mpe angalizo na kodi iwapo TRA watafanya yaoElfu kumi na tano tu.
Hawa jamaa pasua kichwa sikuhizi asees sijui ndo kuvuka malengo.Mpe angalizo na kodi iwapo TRA watafanya yao
Hakika mkuu,kosa huu uzi nisingekuwa natumia Xiaomi ila kupitia mdau hapa sasa ni mmoja wapo wa wanao-enjoy Redmi Note 5.Mkuu wachina inabidi wakupe tuzo, huu uzi una mchango mkubwa kwa watanzania kuzidi kuzitumia hizi simu
Mpe angalizo na kodi iwapo TRA watafanya yao
Umetozwa lini tena customs duty?Hawa jamaa pasua kichwa sikuhizi asees sijui ndo kuvuka malengo.
Mpe angalizo na kodi iwapo TRA watafanya yao
Mdogo wanngu wa kitanga Mr mobile ndio kanihonga kama shukrani kwa uzi huuu hahaaa
Sijawahi kutozwa Kodi na TRA zaidi ya zile Allocation za watu wa posta(Nadhani kamradi ka baadhi ya posta masta)Hivi karibuni umelipia tax kwa mizigo (simu) inayokuja na post?