Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,535
Bwashe ngoja Nami nitafute ya kuonga then nije kuongeza mke huko kwenu.Yeah
😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashe ngoja Nami nitafute ya kuonga then nije kuongeza mke huko kwenu.Yeah
Hivi we unadhani mi napenda ugomvi na wasukuma wenzangu? Uzidi kusambaza kampuni yenye jina gumu kama ili unadhani wataiitajeBwashe ngoja Nami nitafute ya kuonga then nije kuongeza mke huko kwenu.
😁😁😁
[emoji16] View attachment 1108286
mbona wapo vizur tu mi huwa nawatumia hao miaka kama mitano ivy hakuna shida yoyote...........kama ukiiingiza taarifa zisizo sahihi ndio unaweza kuwa blocked............tena ukijiunga na internet bank hapo ndo una enjoy zaidHiv ni benk gani ipo fresh kwa online purchase? Nimetesekea Crdb hadi nimekata tamaaa
KichomiHivi we unadhani mi napenda ugomvi na wasukuma wenzangu? Uzidi kusambaza kampuni yenye jina gumu kama ili unadhani wataiitaje
Hahaaaaa nimekuelewa kakaKichomi
Kitambulisho ni lazima uwe nacho, hajalishi una S.L.P au hauna.Natumia slp ya ndugu yangu, je nikienda kufuta mzigo (simu) wataulizia kitambulisho changu?
kama unaenda kuchukua kwenye box lake hapo ni lazima aende yeye( huyo ndugu yako) na kitambulisho cha posta.........hivi vya uraia na kula haviangaliwi sana kama unaenda kuchukua mzigo kwenye box namba.......pale inaangalia mmiriki wa box ilo ni nani so lazima aende yeye au mtu mwingine ambaye kwenye kitambulisho ipo picha yakeNatumia slp ya ndugu yangu, je nikienda kufuta mzigo (simu) wataulizia kitambulisho changu?
Hebu jaribu kuweka picha tuyajenge mkuu!Nina Redmi s2
Silver in color,
Very clean no stratches
32gb,3gb RAM
Nimenunua last year November
Naitoa nataka kupgrade
Bei tunaelewana
0744474683
Hebu jaribu kuweka picha tuyajenge mkuu!
Nipo mkuu, naomba unisamehe mkuu kwa kuchelewa kujibuKalendi upo
Hii ndio bei gani?
Ndo imetoka leo,jaribu kugoogle uone BeiHii ndio bei gani?
Naona wanakisia inaweza kuwa euro 260 sawa na sh 670,000. Maana wanasema inaweza fanyiwa uzinduzi tar 1/6/2019Ndo imetoka leo,jaribu kugoogle uone Bei
Ikiwa hivyo itakua POA sanaNaona wanakisia inaweza kuwa euro 260 sawa na sh 670,000. Maana wanasema inaweza fanyiwa uzinduzi tar 1/6/2019