Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,535
Michele kwanza ikishindikana ndio kwa fundi.Daah polee mkuu...kwakuwa upo Dar naamini itakuwa pouwa soon.
Mchele upi unazungumzia?Michele kwanza ikishindikana ndio kwa fundi.
Kuna redmi 5a dogo aliizamisha kwenye ndoo ya maji karibu nusu saa nzima na kitu kilizima kimoja but mchele ulifanya kazi yake kitu kinapiga mzigo mwaka sasa
Wowote uujuao uwe wa Mbeya au Morogoro au hata Pakistan okMchele upi unazungumzia?
Mchele upi unazungumzia?
Wowote uujuao uwe wa Mbeya au Morogoro au hata Pakistan ok
Hata kitumbo
YesHata kitumbo
Ooh kumbe ni mchele huu naoujua..nilifikir ni lugha ya picha ya kitu fln hiv
Shida hizi simu za MTK mara nyingi huwa hazipati update kama za snapdragon, nakumbuka kama redmi note 3 ile ya MTK ili stack kwenye lollipop wakati ile ya snapdragon ilipata marshmallow. Na GCAM nafikiri kwenye mtk haifanyi kazi. Mimi device za MTK huwa nazikimbia kabisa kutokana na hawa jamaa sio Developer friends.Hapana boss wangu. Kwanza tuelewane, si MediaTek SoC zote zinakuwa hazina nguvu.... Ebu chukulia mfano mwepesi tu "ni Tecno gani inayotumia ile chipset nzuri kabisa ya MediaTek?", jibu ni hakuna, hata hiyo Phantom 9 simu ya laki saba wameweka MediaTek Helio P35, unaikuta kwenye simu ya laki mbili na nusu ya Xiaomi Mi Play. Ni nani hapa apliwahi kutumia simu yenye MTK chipset zile za high-end kama Helio P60 au P70 akawa bored?!
Tukija kwenye upande wa Redmi Note 8 Pro ina MediaTek Helio G90T ni Chipset latest kabisa ya MTK na ipo vizuri sana hasa kwenye upande wa graphics imetengenezwa kwa HyperEngine technology ambayo itakuwa ina boost nguvu ya GPU na hivyo inazipita hata baadhi ya chipset za Snapdragon na Kirin Kwenye GPU. Kwa wale wapenzi wa video games hii ni simu mahususi kwaajili hiyo.
Nimeweka jana kwa mchana kama masaa 10 hivi nimetoa inapiga kazi ila ina charge slowly tofauti na mwanzo naomba ushauri bado kabla sijapeleka kwa mafundi kuitia vidole.Michele kwanza ikishindikana ndio kwa fundi.
Kuna redmi 5a dogo aliizamisha kwenye ndoo ya maji karibu nusu saa nzima na kitu kilizima kimoja but mchele ulifanya kazi yake kitu kinapiga mzigo mwaka sasa
Daah polee mkuu...kwakuwa upo Dar naamini itakuwa pouwa soon.
Acha tu boss kuna haja ya kutafuta Simu za Waterproof asee.Daah polee mkuu...kwakuwa upo Dar naamini itakuwa pouwa soon.
Daah ungeiacha at least siku 3 ili mchele unyonye unyevu nyevu woteNimeweka jana kwa mchana kama masaa 10 hivi nimetoa inapiga kazi ila ina charge slowly tofauti na mwanzo naomba ushauri bado kabla sijapeleka kwa mafundi kuitia vidole.
Looh..Daah ungeiacha at least siku 3 ili mchele unyonye unyevu nyevu wote
Inabidi usijue matumizi yake mengine ya Mchele ili mafundi simu wapate ya kula ,siku simu yako ikiingia MajiiiiLooh..
Mchele mi najua ni kubugia tu
Looh..
Mchele mi najua ni kubugia tu
Good.Kumbuka ukiendeleea kuwasha sim yako wakat ina maji ndani utasababisha kupiga short kwenye circuit na kufanya sim isiwake tena......weka kwnye mchelee toa betry kabisa ......
Kama unaweza kudisasembly Sawa kama huwezi izime tu then ikobeke kwenye mcheleGood.
Vp kwa non-removable bttry? Nako ni hivyo hivyo?
Hapo moshi stendi ndogo ( yan zinapopaki costa za arusha na hiace za sehem zingn) kuna geti la ushuru hapo, sasa mbele ya hilo geti la ushuru kuna supermarket inayotazamana na wewe ukiwa umesimama getini, ukivuka barabara tu kuelelea hiyo supermarket utatembea hatua 6 kushoto utamwona..ni fundi mzuri na anaaminika sana.Wakuu mliopo Moshi, naomba kujua wapi napata fundi mzuri atakayeweza kufanya installation ya screen ya Redmi Note 6 Pro, msaada wa haraka tafadhali.
Hapo moshi stendi ndogo ( yan zinapopaki costa za arusha na hiace za sehem zingn) kuna geti la ushuru hapo, sasa mbele ya hilo geti la ushuru kuna supermarket inayotazamana na wewe ukiwa umesimama getini, ukivuka barabara tu kuelelea hiyo supermarket utatembea hatua 6 kushoto utamwona..ni fundi mzuri na anaaminika sana.
Au ukishashafika hapo geti la ushuru ( la stendi ndogo) muulize huyo aliyeko hapo getin akuonyeshe fundi simu aliyeko maeneno hayo (huyo fund ni shekhe) na atakuonyesha directly ofis yake ilipo mana inatazamana na yeye.
Sidhani mana sikumbuki jina la hiyo supermarket. Ila ukiwa geti la ushuru hapo stendi ndogo utaiona au umuulize huyo wa getin au dreva tex wanaopaki gari hapo hapo pembezoni mwa getinAhsante sana mkuu kwa ushirikiano wako. Ni Rafiki Supermarket au?