Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Kama unatumia App itakuwa ni bugs tu, jaribu kuangalia kwa kutumia Web
 
Update app yao
 
Mkuu hilo hutokea sometimes lakini itakaa sawa angalia kama hiyo App ina update.
 
Uwe tayari kusubiri hadi siku 30 ndio mzigo utatumwa. Ila inaweza kutumwa siku pungufu ya hizo.
 
Mkuu aisee Fantacy ni wa kumuotea, lkn mm sina bahati na huyu seller nilisha cancel order mara mbili
Order ya 1 ilichukua siku 9.
Order ya 2 siku 14.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…