Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Features za MIUI 11
Mimi nimeikubali hiyo ya betri sever tu.
Inafanyaje?
Ni feature ambayo endapo betri ya simu imebaki asilimia chache na huna namna ya kuchaj kwa muda huo basi inaweka in hiyo feature hapo ina funga app zote kwenye screen na kubakiza app zile za muhimu tu kama vile app ya sms, dialer, na app nyingine utakayo chagua uitumie kwa muda huo kwa kufanya hivyo itaongeza muda wa simu yako kukaa na chaji.

Sijui kama kwa maelezo haya umenielewa mkuu. Hii ni tofauti na power saving mode.
 
Hivi wakuu nipeni ushauri hapa:
hivi nikiagiza mzigo nikiwa mkoa mara halafu kabla mzigo haujafika nikawa nimeenda mkoa mwingine,je hapo mzigo ukifika posta kunakua na faini ya kuchelewa kuuchukua na je mzigo utakua na Usalama?
 
Hivi wakuu nipeni ushauri hapa:
hivi nikiagiza mzigo nikiwa mkoa mara halafu kabla mzigo haujafika nikawa nimeenda mkoa mwingine,je hapo mzigo ukifika posta kunakua na faini ya kuchelewa kuuchukua na je mzigo utakua na Usalama?
Hii labda wenye experience watakujibu mkuu...
 
Naiseti vipi nielekeze
 
Hivi wakuu nipeni ushauri hapa:
hivi nikiagiza mzigo nikiwa mkoa mara halafu kabla mzigo haujafika nikawa nimeenda mkoa mwingine,je hapo mzigo ukifika posta kunakua na faini ya kuchelewa kuuchukua na je mzigo utakua na Usalama?
Mzigo ukikaa zaidi ya mwezi bila ya kuchukuliwa Unarudishwa ulipotoka.
 
Nenda posta. Chukua namba ya simu ya anaehudumia mwambia nna mzigo upo njiani lakini nasafiri. Naomba ukifika akugowadie unakoenda. Ukifika wana repark unatumwa uliko. Nimewaifanya hivo. Mzigo ulipofika nikatumiwa tena na posta kule nilipo
Hivi wakuu nipeni ushauri hapa:
hivi nikiagiza mzigo nikiwa mkoa mara halafu kabla mzigo haujafika nikawa nimeenda mkoa mwingine,je hapo mzigo ukifika posta kunakua na faini ya kuchelewa kuuchukua na je mzigo utakua na Usalama?
 
Duh MIUI hakuwa na hii feature?, alizidiwa na tecno, wanayo hii feature kitambo sana. Niliiona huko kwenye dabliyu fooo[emoji3] hapa Mi alichelewa sana. Samsung anayo pia, "Power mode"
 
Duh MIUI hakuwa na hii feature?, alizidiwa na tecno, wanayo hii feature kitambo sana. Niliiona huko kwenye dabliyu fooo[emoji3] hapa Mi alichelewa sana. Samsung anayo pia, "Power mode"
Jamaa hii feature hakuwa nayo aisee...
Huwa inasaidia sana pindi ukiwa kwenye mazingira magumu ya kuishiwa chaj, na unahitaji uwe hewani.
 
Nenda posta. Chukua namba ya simu ya anaehudumia mwambia nna mzigo upo njiani lakini nasafiri. Naomba ukifika akugowadie unakoenda. Ukifika wana repark unatumwa uliko. Nimewaifanya hivo. Mzigo ulipofika nikatumiwa tena na posta kule nilipo
Hiyo labda Kwa items ndogo ndogo!!
Kwa simu utaambulia box,Charger na manual book's
 
Nenda posta. Chukua namba ya simu ya anaehudumia mwambia nna mzigo upo njiani lakini nasafiri. Naomba ukifika akugowadie unakoenda. Ukifika wana repark unatumwa uliko. Nimewaifanya hivo. Mzigo ulipofika nikatumiwa tena na posta kule nilipo
Nitaenda wanipe ABC
 
Duh MIUI hakuwa na hii feature?, alizidiwa na tecno, wanayo hii feature kitambo sana. Niliiona huko kwenye dabliyu fooo[emoji3] hapa Mi alichelewa sana. Samsung anayo pia, "Power mode"
Hii feature mbona ipo kitambo tu.. Mi natumia daily na Sina hata hiyo miui 11 bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…