Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Nikweli hata mm kakwangu sitamani kina blackbery,samsung wala nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kwa Hiyo Sio Kwamba Hawatakiwi Bali Wenyewe Hawajiendeshi Kama Kikuu---






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kutokana na tatizo hili la kuchelewa mizigo, hata aliexpress wameongeza buyer protection kutoka 60 days hadi 90days. Kwa hiyo kama unataka ku order unaweza kuOrder ila hakikisha tu unatumia standard shipping ili likitokea lolote uweze kupata refund.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nitakitafuta pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Budget ya 300k napata xiaom redmi note 8 mpya wakuu?
Hapana mkuu,,, ata note 7 mpya ni ngumu... kwa note 8 mpya anzakuwa na 380k+ (Hii kama kuna promotion unaweza pata) Ila kikawaida sana sana uwe na 400k+ ndo uhakika zaidi.
 
Hapana mkuu,,, ata note 7 mpya ni ngumu... kwa note 8 mpya anzakuwa na 380k+ (Hii kama kuna promotion unaweza pata) Ila kikawaida sana sana uwe na 400k+ ndo uhakika zaidi.
Duuuh hakuna aneuza aniuzie tu hata kama imetumika nina shida mkuu
 
Hivi spear zimeshaanza kupatikana hapa bongo,mie Yangu ishapasuka screen.
 
Duuuh hakuna aneuza aniuzie tu hata kama imetumika nina shida mkuu
Google realme x, ukiipenda nnayo nimetumia wiki tu, niliagiza mwezi wa pili ikachelewa sana, nikakata tamaa nikanunua simu nyingine mjini , wiki iliyopita nikaitwa posta nikaichukue , ss sina ishu nayo kivile

Sent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…