Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Kwa kiwango gani mkuu??
Hiyo Redmi note 9S kule site ya AliExpress mteja anaweza opt kuongeza baadhi ya item kama Mi band 4, case glass, nk na Kila kimoja kinakua na bei yake ndo maana nikakuuliza endapo mteja atahitaji hizo items unaweza kua navyo? Au wewe unauza simu ambayo ni boxed na ndani yake kunakua na chaja plus ile cover inayokuja na simu?
 
Hiyo Redmi note 9S kule site ya AliExpress mteja anaweza opt kuongeza baadhi ya item kama Mi band 4, case glass, nk na Kila kimoja kinakua na bei yake ndo maana nikakuuliza endapo mteja atahitaji hizo items unaweza kua navyo? Au wewe unauza simu ambayo ni boxed na ndani yake kunakua na chaja plus ile cover inayokuja na simu?
Oh okay nmekufaham now, yes kama unataka Ivo unaweza ukapata vyote in fair price kikawaida wengi hununua Simu Tu na cover
 
Hiyo Redmi note 9S kule site ya AliExpress mteja anaweza opt kuongeza baadhi ya item kama Mi band 4, case glass, nk na Kila kimoja kinakua na bei yake ndo maana nikakuuliza endapo mteja atahitaji hizo items unaweza kua navyo? Au wewe unauza simu ambayo ni boxed na ndani yake kunakua na chaja plus ile cover inayokuja na simu?
Both availableView attachment 1559209
image_a50745f4-42d9-49b5-ac37-8fcdcf912ebc20200905_115721.jpg
 
Wakuu nataka redmi note 9 pro max ram 6gb rom 128gb,nitaipata kwa bei gan mpaka kufika bongo na itachukua mda gan mpaka ifike?
 
Laki tano kamili ndani ya siku mbili

0692119300 nione wasap
Ndugu Hasani hebu tuaminishe, kwa hili kama wewe ni mfanyabiashara na una makazi bongo(means hukosi rafiki).Tunaomba utuwekee utaratibu mzigo tulipie baada ya kua mzigo umefika bongo, hii kauli ya kutuambia tutume hela Tu utatuma products ukipotea tunaanzia wapi kukupata . Tuwe makini wadogo zangu ye ye kama ni mfanyabiashara na anamtaji alete mzigo hata kama ni kwa kutanguliza advance ya pesa kwa mtu tunayemjua huku kisha tutachukua mizigo huko ata ikitokea tumepigwa tunaanza na huyo mtu huko
 
Ndugu Hasani hebu tuaminishe, kwa hili kama wewe ni mfanyabiashara na una makazi bongo(means hukosi rafiki).Tunaomba utuwekee utaratibu mzigo tulipie baada ya kua mzigo umefika bongo, hii kauli ya kutuambia tutume hela Tu utatuma products ukipotea tunaanzia wapi kukupata . Tuwe makini wadogo zangu ye ye kama ni mfanyabiashara na anamtaji alete mzigo hata kama ni kwa kutanguliza advance ya pesa kwa mtu tunayemjua huku kisha tutachukua mizigo huko ata ikitokea tumepigwa tunaanza na huyo mtu huko
Ndugu kilangi masanja nmekuelewa matakwa yako, nadhani na wewe ulitaka mzigo na ukaomba upewe ushuhuda sijui uliwasiliana nao?? Lakini pia kwenye suala la biashara kila mtu ana utaratibu wake. Utaratibu wangu Mimi ni huu na wala simlazimishi mtu kulipa pesa nadhani Kwa bei zangu na system yangu ilivyo naridhika na wateja wangu na kama kuna yoyote ambae kafanya kazi na Mimi au hakupata haki yake aseme.

Lakini Vile vile Kwa watu ambao hutakiwa kufanya malipo hupewa namba za simu ili kama nipo Dubai unatuma kabla hujatuma amana yako lazima uwasiliane na Huyo mtu lakini wengi hua hamufiki uko na kuishia njian.

Sisi watu wa visiwani tunafanya biashara Kwa misingi ya ukweli na uaminifu bila ya matatizo na mtu tofauti na watu wengi wa mainland nadhan nitakua nimefahamika.

Take care any time..
 
Ndugu Hasani hebu tuaminishe, kwa hili kama wewe ni mfanyabiashara na una makazi bongo(means hukosi rafiki).Tunaomba utuwekee utaratibu mzigo tulipie baada ya kua mzigo umefika bongo, hii kauli ya kutuambia tutume hela Tu utatuma products ukipotea tunaanzia wapi kukupata . Tuwe makini wadogo zangu ye ye kama ni mfanyabiashara na anamtaji alete mzigo hata kama ni kwa kutanguliza advance ya pesa kwa mtu tunayemjua huku kisha tutachukua mizigo huko ata ikitokea tumepigwa tunaanza na huyo mtu huko
Namba yangu ya mawasiliano nyumbani
0679657733

Namba ya mawasiliano WhatsApp 0692119300
 
Ndugu kilangi masanja nmekuelewa matakwa yako, nadhani na wewe ulitaka mzigo na ukaomba upewe ushuhuda sijui uliwasiliana nao?? Lakini pia kwenye suala la biashara kila mtu ana utaratibu wake. Utaratibu wangu Mimi ni huu na wala simlazimishi mtu kulipa pesa nadhani Kwa bei zangu na system yangu ilivyo naridhika na wateja wangu na kama kuna yoyote ambae kafanya kazi na Mimi au hakupata haki yake aseme.

Lakini Vile vile Kwa watu ambao hutakiwa kufanya malipo hupewa namba za simu ili kama nipo Dubai unatuma kabla hujatuma amana yako lazima uwasiliane na Huyo mtu lakini wengi hua hamufiki uko na kuishia njian.

Sisi watu wa visiwani tunafanya biashara Kwa misingi ya ukweli na uaminifu bila ya matatizo na mtu tofauti na watu wengi wa mainland nadhan nitakua nimefahamika.

Take care any time..
Ulipokosea hapo kusema mtu wa visiwani na maelezo mengi ambayo hayaeleweki.
Sema hiv
1. Mtu wangu yupo Dar Sehem flan namba yake hii hapa
2. Ni ushahidi angalia u wa wa simu ulizowah kuwatumia baadhi ya wateja wako. Unaweza ficha hata details zao
 
Kwenye maswala ya pesa hakuna kumuamin mtu 100% izi habari za kulipia mzigo haupo mkononi ni hatari sana any time t....utaenda kulilia choochon...

Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app
Indeed mkuu upo sahihi Sana lakini inabidi iwe hivi Kwa upande wangu Mimi hususan nikikuchukulia huku ikija nyumbani price ni different kabisa
 
Back
Top Bottom