Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
- #41
Poa kaka nipe majibu sasa ukikamilisha nikueleze na vitu vingineAsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kaka nipe majibu sasa ukikamilisha nikueleze na vitu vingineAsante
Inatumia OS ipi?Poa kaka nipe majibu sasa ukikamilisha nikueleze na vitu vingine
Naona unatambua maana ya ukubwa wa jina.Hapana, siyo kichomi. Hilo ni jina kubwa sana kama lilivyo Apple ndo maana inaitwa Apple of China. Ninatumia Xiaomi mi5 iko vizuri sana kuanzia chaji, inakaa na chaji pia betri yake ni kubwa camera zote ziko vizuri sana. Simu ina zaidi ya mwaka haijawahi kuleta shida yoyote, jinsi ilivyo bora nikitoka kwa hii naenda mi 6.
Android mkuuInatumia OS ipi?
Mkuu funguka nn hasa kinakuvutia kwenye simu yakoredmi 4✘ ina akili sana...i enjoy it
Ulichukua China Stock badala ya Globalhaina ndilo moja wapo ya matatizo yake
Daah we jamaa mungu anakuona ujue.... Eti nini kichomi? HahahahaaaaNarudia swali ambalo hujalijibu.
Mkiwa nazo wachache ndio zinakuwa kiboko?
Hilo 'gumzo' wanazungumza kuhusu nini juu ya hizo "kichomi"
(kila nikijaribu kusoma ndio naona zinavyosomeka)
exactly! zilikuwa zimeisha nikabidi nibebe hiyo tu. Lakini bado iko superUlichukua China Stock badala ya Global
Kweli na mimi beijing walikataa zaidi ya mbili wanasema you and spouse. Nilinunua equivalent of 350,000 tsh. Nimeanfika hapa kuwa niliweka protector ikagoma kufanya kazi. Ikaja pop msg kuwa ondoa protector. Mpaka leo hakuna mkwaruzo kwenye kioo mwaka wa tatu.Inategemeana na aina ila kariakoo nasikia zipo, mi nilinunua Hong Kong $112.00 na hakuruhusu ununue zaidi ya mbili maana ndo walikuwa wame launch. Nilitaka Tecno lakin hong Kong nzima hakuna tecno ndo wakanishauri Xiaomi. Maana ni copy and paste ya Apple
Nipe feedback plz ndugu yangu sawa si nimekupa link hio ufatilie uifate utasolveexactly! zilikuwa zimeisha nikabidi nibebe hiyo tu. Lakini bado iko super
Mkuu inaonyesha unapesa mob.Oppo F3 Plus na iPhone 7
sasa hivi ni brand kubwa mkuu, time to time wanaingia top 5 manufacture wa simu duniani kimauzo. pia wanajitahidi ku poach talents toka makampuni makubwa mfano HUGO Barra walimchukua Toka Google,Hii tabia ya kununua simu kwa kuangalia shape ni mbaya Sana. Kwa nini usitafute simu nzuri na brand inajulikana? Niwe mkweli tu hiyo brand siwezi kutumia.
Asante kwa mchango wako kaka tuko pamoja ila nimeikoroga device yangu hapa kuna sehem nimegusa sasa nikipigiwa inatoa mwanga kwenye flashlight ya kamera plz natoaje hio settingsasa hivi ni brand kubwa mkuu, time to time wanaingia top 5 manufacture wa simu duniani kimauzo. pia wanajitahidi ku poach talents toka makampuni makubwa mfano HUGO Barra walimchukua Toka Google,
Hugo Barra ameshika vyeo vingi sana Google upande wa Android hadi kufikia Kuwa vice president wa Android. mwaka 2013 Xiaomi wakamchukua, mpaka hii 2017 ndio ameondoka.
Pia Xiaomi kwenye Hardware ni wa wazi sana kila kitu wanachotumia wanakisema, hvyo unajua kabisa unanunua nini, tofauti na wachina wengine ambao specs utajua mwenyewe utazipata wapi, hawasemi kitu.
Lakini pia kwa kua wewe ni mtaalam na pia wengine wale ambao wana ujuzi wa teknolojia tunaomba mtusaidie kitu hapa.Asante kwa mchango wako kaka tuko pamoja ila nimeikoroga device yangu hapa kuna sehem nimegusa sasa nikipigiwa inatoa mwanga kwenye flashlight ya kamera plz natoaje hio setting