Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
- #61
Xiaomi is the best for me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief nahitaji device hizo wapi ntapata original yenye 4g! Tablet!sasa hivi ni brand kubwa mkuu, time to time wanaingia top 5 manufacture wa simu duniani kimauzo. pia wanajitahidi ku poach talents toka makampuni makubwa mfano HUGO Barra walimchukua Toka Google,
Hugo Barra ameshika vyeo vingi sana Google upande wa Android hadi kufikia Kuwa vice president wa Android. mwaka 2013 Xiaomi wakamchukua, mpaka hii 2017 ndio ameondoka.
Pia Xiaomi kwenye Hardware ni wa wazi sana kila kitu wanachotumia wanakisema, hvyo unajua kabisa unanunua nini, tofauti na wachina wengine ambao specs utajua mwenyewe utazipata wapi, hawasemi kitu.
unataka os gani window au iOS???Kiufupi naipenda xiauomi but siipendi kwasababu ina os ya Android
mKUU MNAJADILI HAKUNA HATA PICHA ZAKE TUONE HIYO Xiaomi inafananaje?Mkuu funguka nn hasa kinakuvutia kwenye simu yako
Mkuu tupia basi hata kapicha ka Xiaomi kusupport unachokisema kaka....Xiaomi is the best for me
Yangu haina man, Nisaidie.Mkuu ina play store au haina nikupe ujanja flani
setting then call then incoming call utaiona sehemu ya kueka on na off.Asante kwa mchango wako kaka tuko pamoja ila nimeikoroga device yangu hapa kuna sehem nimegusa sasa nikipigiwa inatoa mwanga kwenye flashlight ya kamera plz natoaje hio setting
Yangu haina man, Nisaidie.
Mkuu hebu tuwekee ile link ya kuinstall google services watu waenjoy mimi nashindwa iweka hapa kakasetting then call then incoming call utaiona sehemu ya kueka on na off.
huwa kikawaida inakuwepo store inayokuja na hizo xiaomi za china, ukiingia store andika tu google unaipata.Mkuu hebu tuwekee ile link ya kuinstall google services watu waenjoy mimi nashindwa iweka hapa kaka
SmatSkills: Download Play Store kwenye simu za ChinaMkuu hebu tuwekee ile link ya kuinstall google services watu waenjoy mimi nashindwa iweka hapa kaka
Ahsante Kwan ufafanuzi mkuu. Nakuaminia Sana kwenye hili jukwaa wewe ni m1 wa watu wanaolitendea Haki jukwaa hili. Lakini waache mgambo watangulie sie tutakuja.sasa hivi ni brand kubwa mkuu, time to time wanaingia top 5 manufacture wa simu duniani kimauzo. pia wanajitahidi ku poach talents toka makampuni makubwa mfano HUGO Barra walimchukua Toka Google,
Hugo Barra ameshika vyeo vingi sana Google upande wa Android hadi kufikia Kuwa vice president wa Android. mwaka 2013 Xiaomi wakamchukua, mpaka hii 2017 ndio ameondoka.
Pia Xiaomi kwenye Hardware ni wa wazi sana kila kitu wanachotumia wanakisema, hvyo unajua kabisa unanunua nini, tofauti na wachina wengine ambao specs utajua mwenyewe utazipata wapi, hawasemi kitu.
mkuu hapo labda j3 unaweza pata bei hio au j5 kama utaongeza kidogo.Ahsante Kwan ufafanuzi mkuu. Nakuaminia Sana kwenye hili jukwaa wewe ni m1 wa watu wanaolitendea Haki jukwaa hili. Lakini waache mgambo watangulie sie tutakuja.
Kingine mkuu Nina 250k ninaweza pata simu ipi nzuri Kwa bei hiyo brand owe sumsang.
Natanguliza shukrani mkuu Chifu mkwawa
Pia unaweza flash global ROM ambayo iko full English na hizo Google playservice. Hizo global ROM ziko official kwenye website yao pamoja na guide yake ya kuflash ambayo ni simple tu.Ok hapo sawa sasa acha wainjoy
Nipe maelezo ya kina ya kufanya hio kitu plz nduguPia unaweza flash global ROM ambayo iko full English na hizo Google playservice. Hizo global ROM ziko official kwenye website yao pamoja na guide yake ya kuflash ambayo ni simple tu.
Unajuaje ni Global au china stock?Ulichukua China Stock badala ya Global
Ios mkuu au windowunataka os gani window au iOS???
Play Store service ndo utambulisho wa kwanzaUnajuaje ni Global au china stock?