Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Mkuu A5 2017 ni simu nzuri zaidi kushinda redmi 6, hata hazifananishiki sema A5 nayo ni ghali zaidi pengine mara 2 hadi 3 ya hio redmi 6.La mwisho Chief-Mkwawa naomba unishauri kuhusu Samsung galaxy a5 2017 , je inaipiku redmi 6? Naezaje oata original (ambayo siyo refurbished)
Pa kuipata original tembelea maduka official ya samung kkoo gerezani linaangalizana ma mwendokasi ama mjini jmall.