Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
Hapana huwa hapa targert yetu kununulia china yaani kupitia aliexpress.com ila ikija bongo hugusi boss.Lakini mkuu mbona bei zako zinakuwa tofauti sana na jamaa zetu wa kariakoo!!!yaani hii umeandika hapa 420 but kkoo utaambiwa 720,wewe huwa unaangalizia wapi??
Bei ya aliexpress hio mkuuLakini mkuu mbona bei zako zinakuwa tofauti sana na jamaa zetu wa kariakoo!!!yaani hii umeandika hapa 420 but kkoo utaambiwa 720,wewe huwa unaangalizia wapi??
AliExpress.comNaomba nisaidie link ya aliexpress mkuu kwa around bei hiyo itakuwa vizuri na umenisaidia mkuu.
Exactlyhiyo bei inajumuisha gharama zote mpk mkononi?
Nafirikiri hiyo uliyonayo ni Chinese Version, inakuwa na characters nyingi za kichina but kwenye vitu vingine inaonyesha kwa phone language (English). Hautoweza kubadili lugha coz ni CN version, mwanzo kabisa walivyoanza kuziuza zilikua ni Chinese version tu, lakini kwa sasa wametoa Global Version yenye English na lugha nyingine nyingi.Habarini wadau, mimi natumia saa/fitness tracker MI FIT BAND 3 lakini lugha yake ni ya kichini. . .na sijafanikiw kubadilisha lugha hadi hivi sasa coz kwenye App yake ya MI FIT hakuna hiyo option. Nitashukuru kwa msaada jamani kwa ambaye anautaalum
dah!Exactly
Hadi zile za zantel za mwanzo!?
Unahisi inaweza ikawa rahisi mtu kukupa hela umuagizie from no where ebu tuambie unatumia taratibu gani?anayehitaji simu za Xiaomi aniambie tunaagizia china ni simu nzur sn
YahHadi zile za zantel za mwanzo!?
Sawa mkuu nimeona tayari
wingle za airtel je?
umejarb inafanya kazi?Hadi zile za zantel za mwanzo!?
Hapanaumejarb inafanya kazi?
Kuagiza ni bei gani jumla mpaka kuipata mkononi pamoja na wewe ninaekupa kazi ya kuagizaBei imechangamkaaaa! Mno. Wakati hapo ukiongeza 30k, unapata Redmi Note 6 Pro 4GB RAM 64GB ROM SNAPDRAGON 636. View attachment 952434 Imemuacha oppo kwa kila idara. Hizi simu ni mara kumi uagize direct kwa mchina kuliko kununulia hapa nchini
Hakuna mkuu ram za wahenga hizo huwa hazifiki huko kwenye 2GB.Sawa mkuu nimeona tayari
Pia naomba unisaidie link halisi ya hii
RAM DDR 2GB
kwa aliexpress kuna mtu nataka nimuagizie
View attachment 966757
kwa hiyo hamna hata mtu aloleta mrejesho sio? tunaogopa kudownload virus mkuu kupoteza dataHio ni kwamba ukiweka modem yako itakuambia kama inasupoort au no...Ila cha msingi ni kufuata maelekezo maana ni powerful tool
mkuu ukiangaliwa kwa jicho la 3 na vitu unavyopost ni.wazi virus hamna cha maana unachopost sijui unataka kuiba info za watu uibe na mengine hakuna cha msingi jiangalie tena na tenaHio ni kwamba ukiweka modem yako itakuambia kama inasupoort au no...Ila cha msingi ni kufuata maelekezo maana ni powerful tool
Kuagiza ni bei gani jumla mpaka kuipata mkononi pamoja na wewe ninaekupa kazi ya kuagiza