Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheki FB jamaa wanajiita highlife TanzaniaMwenye kujua sehemu wanapouza original power bank za Xiaom kwa Dar anijuze tafadhali
Ipo Dar ?.....naitakaOppo naikubali sana hio simu, camera yake ni bad news.
I wish Sony wangeomba hata optimization ya camera yao wafanyiwe na hao jamaa wa oppo. Picha za oppo ni fire jamaa..
Dar kupata ngumu labda Nairobi au uagize ulaya online.Ipo Dar ?.....naitaka
Mhhh nilikua ninampango wa kununua Infinix note3 lkn nimegairi bora nibaki na Samsung mega yanguInfinix hamna kitu, kuna Dogo nilitaka kumuachia Xiaomi Redmi 4A kwa tsh 240,000 akaidharau kwavile ina lebo ya China mobile kwa nyuma.
Akaenda kuchukua Infinix zero 4.
Miezi 3 Sasa Xiaomi bado ipo vile vile kama mpya ila jamaa Infinix yake imepiga shoti tayari hivyo ela imeenda
mKUU MNAJADILI HAKUNA HATA PICHA ZAKE TUONE HIYO Xiaomi inafananaje?
Ulichukua kwa bei ganiXiaomi mi mix 128gb
Ya kwangu watoto wa mbwa waliichukua kama yaoHello wanajukwaa natumia hili pendwa natumaini mu wazima.
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi.
BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri for affordable price.
KARIBUNI
Pole mkuu ila xiaomi wanajua aisee ndugu yanguYa kwangu watoto wa mbwa waliichukua kama yao
Ahsante mkuu, hivi nasoma huu uzi maumivu yamerudi upyaPole mkuu ila xiaomi wanajua aisee ndugu yangu
Pole ila kuna mtu anauza kupatana bei kitonga sana waweza mcheki huko mimi nafaidi tu mambo ya dual apps na mengineAhsante mkuu, hivi nasoma huu uzi maumivu yamerudi upya
Kwa wale wanaofanya kazi na wachina labda unaweza kupata maana ndio wengi wao wanazitumia Ila ni wagumu sana kumuuzia mtu atakuuzia nyingine sio hiyo pia unaweza kumuagiza akakuletea kama mnaelewana sana vinginevyo utamuagiza hiyo atakuletea nyingineIpo Dar ?.....naitaka
1.2MUlichukua kwa bei gani
Uliagiza au hapa Bongo1.2M
Mtu alinunua China akaniletea.Uliagiza au hapa Bongo
Sasa nimeamua nitatumia Tecno tu, maana hii hata wakichukua baada ya dk. 20 ninayo nyingine labda baadae sana, niliumia sana na bado sijaisahauPole ila kuna mtu anauza kupatana bei kitonga sana waweza mcheki huko mimi nafaidi tu mambo ya dual apps na mengine
Mmmh hujawa addicted wewe mimi nikikipenda kitu hua nachanganyikiwa kabisa ujueSasa nimeamua nitatumia Tecno tu, maana hii hata wakichukua baada ya dk. 20 ninayo nyingine labda baadae sana
Acha mkuu acha nielewe tu hivyoMmmh hujawa addicted wewe mimi nikikipenda kitu hua nachanganyikiwa kabisa ujue
Kuna hii One plus 5 ni moto wa kuotea mbaliNipo na One Plus 2 Sijawahi ijutia
Oppo R11 hatari sanaOppo naikubali sana hio simu, camera yake ni bad news.
I wish Sony wangeomba hata optimization ya camera yao wafanyiwe na hao jamaa wa oppo. Picha za oppo ni fire jamaa..