Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Okay, wasiliana nae tena kama atatuma kwa wakati, hili ujiandae kuchukua kwenye store nyingine.Ila mwisho Jana nimeangalia alikua anatuma TZ,Leo naona kaweka hatumi Tz. Sijui Shida ni nini?!
Ngoja nisubiri hizo siku 10-13 alizoniahidi nione kama atatuma au la
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Jamaa mara ya mwisho kufanya nao biashara ni Mei 2018 baada ya hapo wakawa hawatumi simu TzSawa Mkuu.
Hivi ndo alivyonijibu[emoji116]View attachment 1003735
Sent using Jamii Forums mobile app
Walitumia muda Gani kukutumia Mzigo wako?!Hao Jamaa mara ya mwisho kufanya nao biashara ni Mei 2018 baada ya hapo wakawa hawatumi simu Tz
View attachment 1003797
Simu ya Kwanza Xiaomi redmi 4A nilichukua Xshow zinazofuata ni Xiaomi Retail Store hao Jamaa walikuwa fast sana yaani siku 12-15 tayari unakitu mkononi.Wakuu Mpombote
ze kokuyo alixpress kulikuwa na sellers wazuri tu wa kuuza simu za Xiaomi baadhi ni:-
1.Xshow store
2.Hong Kong Goldway
3.Xiaomi Retail Store
4.Fantancy Technology
Yaani ulikuwa na uhuru wa kuchagua seller yupi yupo cheap na fast zaidi Kati ya hao ila sasa hao watatu wa mwanzo hawaship kabisa Tz au wanaship wanapojisikia.
Xshow wameachana na Xiaomi wanauza brand ya Leeco na nyingine so fantacy ndio kabaki tegemeo
Kwann wamesitisha tz? Au kuna úpotevu sana?Wakuu Mpombote
ze kokuyo alixpress kulikuwa na sellers wazuri tu wa kuuza simu za Xiaomi baadhi ni:-
1.Xshow store
2.Hong Kong Goldway
3.Xiaomi Retail Store
4.Fantancy Technology
Yaani ulikuwa na uhuru wa kuchagua seller yupi yupo cheap na fast zaidi Kati ya hao ila sasa hao watatu wa mwanzo hawaship kabisa Tz au wanaship wanapojisikia.
Xshow wameachana na Xiaomi wanauza brand ya Leeco na nyingine so fantacy ndio kabaki tegemeo
Pamoja na sababu zingine upotevu ndio Chanzo kikubwa!
Pamoja na sababu zingine upotevu ndio Chambo kikubwa!
Kipindi cha nyuma niliwauliza HK Goldway majibu yao ni Kama yanavyoonekana kwenye screenshot hapo
View attachment 1004460
Karibu MIUI mkuu,...
Huu ni mgodi wenye madini ambayo wengi hawaja ushtukia.Karibu MIUI mkuu,...
Kodi umelipia kias gani au hawajakutoza kodi yoyote posta?
Kodi umelipia kias gani au hawajakutoza kodi yoyote posta?
Okay, ilikuja kwa shirika gani la posta?Sasa hv kodi ni lazima mimi nilinunua simu ya dola 99 seller akaandika dola 58 tra wakasema nioneshe kwenye simu nikamwambia nimeacha simu wakaandika kodi ya dola 58 ambayo ni 27400 janga lakini kuna afadhali bado
Sent using Jamii Forums mobile app