Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

oppo hawauzi simu affordable, tegemea hio iwe milioni 2 hivi.

oneplus na vivo (kampuni moja), ndio wanauza hizo za bei rahisi.
Vp hizi
2be2822eadc9ba5125fe3534c69d8741.jpg
ab2fa19e0fb0d3a4999957cd03788b30.jpg

tuziite bei raisi au?
 
Vp hizi
2be2822eadc9ba5125fe3534c69d8741.jpg
ab2fa19e0fb0d3a4999957cd03788b30.jpg

tuziite bei raisi au?
mkuu ujue urahisi unakuja na unachopata,

gari ya milioni 5 ni bei rahisi.
pikipiki ya milioni 5 ni bei ghali.

simu highend inayotumia snapdragon 835 hata ikiuzwa dola 500 tunasema ni bei rahisi kutokana na unachokipata, hivyo yes hizo ni simu za bei rahisi. snapdragon 835 hio hio inatumika kwenye simu ya milioni 2.

hivyo hizo simu hapo juu ni bei rahisi, dola 400 ni bei ndogo sana kwa sd 835.

ila simu ambayo inatumia soc ambayo sio highend ikiuzwa dola 300 au 400 mfano galaxy A series tutaiita bei ghali sababu unachopata na unacholipa haviendani.
 
mkuu ujue urahisi unakuja na unachopata,

gari ya milioni 5 ni bei rahisi.
pikipiki ya milioni 5 ni bei ghali.

simu highend inayotumia snapdragon 835 hata ikiuzwa dola 500 tunasema ni bei rahisi kutokana na unachokipata, hivyo yes hizo ni simu za bei rahisi. snapdragon 835 hio hio inatumika kwenye simu ya milioni 2.

hivyo hizo simu hapo juu ni bei rahisi, dola 400 ni bei ndogo sana kwa sd 835.

ila simu ambayo inatumia soc ambayo sio highend ikiuzwa dola 300 au 400 mfano galaxy A series tutaiita bei ghali sababu unachopata na unacholipa haviendani.
Ahsante kwa kunielimisha mkuu, LONG LIVE.
 
5dc555f8528b92cdb698cb1b8c1c6873.jpg
e0e18c0626c05a4739f1ac15fa4a9629.jpg
htt
Msauziya Kama hip biashara naona umeamua kuifanya kwa faida ya watanzania fungua kabisa thread Basi au niuedit upya uzi huu tupate Huduma zako maana naona Kama umekusudia kutusaidia wenzako katika kupata hizo bidhaa hivi
 
Bado itakua cheap than Iphone X
bei inayotabiriwa ni Euro 600 mpaka 700,
-hupati oled kama ya iphone x
-hupati ile 3d scanner
-Hupati A11 soc
-Hupati camera nzuri kama ya iphone X

na mambo mengine mengi, hio oppo inaweza ikawa na value mbaya ya hela kuliko hio iphone.

kama unaipenda Oppo kanunue oneplus, na siku zote simu za R za oppo ndio hizo hizo zinakuwa oneplus, zinabadilika majina tu na specs, ambapo oneplus inakuwa na specs kali zaidi.

mfano R11 ilikuwa sawa na oneplus 5, R11s ni sawa na oneplus 5T , hivyo hii R13 sitashangaa ikiwa ni oneplus 6.
 
Ipo 3gb ram 16gb rom bei 330000/= hadi kufika bongo.
4f13c99445c222122bb56daf42df10ab.jpg
45d7c60f72de128df951e1736c4acaf3.jpg

www.banggood.com Kazi ni kwako mkuu...
Mkuu niko Dom pia nahitaji kuagiza huu mzigo kwa budget yangu ya kimasikini vp naweza kuwatrust hawa jamaa? Kwamba we ushawahi agiza toka kwao na mzigo ulikufikia baada ya muda gani???
 
Mkuu niko Dom pia nahitaji kuagiza huu mzigo kwa budget yangu ya kimasikini vp naweza kuwatrust hawa jamaa? Kwamba we ushawahi agiza toka kwao na mzigo ulikufikia baada ya muda gani???
Hawa jamaa waaminifu sana wanatuma one day after payment.... Nimeagiza vingi tu vimefika bila bugudha yotote.... Mzigo uchukua siku 15 hadi 25 kufika TZ.
 
Nimecheck hii Xiaomi Redmi Note 4X 4G Phablet MIUI 9 5.5 inch Snapdragon 625 Octa Core 2.0GHz Fingerprint Scanner 5.0MP + 13.0MP Cameras
Main Features:
Display: 5.5 inch FHD 2.5D Arc screen
CPU: Snapdragon 625 Octa Core 2.0GHz
GPU: Adreno 506
System: MIUI 9
Camera: rear camera 13.0MP with AF and flashlight + front camera 5.0MP
Bluetooth: 4.2
Navigation: GPS, A-GPS, GLONASS
Sensor: Accelerometer, Ambient Light Sensor, Gravity Sensor, Gyroscope, Infrared, Proximity Sensor, Fingerprint Sensor
SIM Card: dual SIM dual standby, Micro SIM + Nano SIM cards
fe568ee39746de7740917f3728707aa5.jpg
34ea414b14dd7c53f0925d6108e96c99.jpg

30573cc60e03e0fa2bd656ea16fc0dcd.jpg

Bei yake ni 380000/= hadi kufika Bongo.
Umechukulia store gani?
 
Unakuwa umeshalipa pale unapoagiza, kwa hiyo unapoenda post office kuchukua mzigo wako una sign na kupewa mzigo wako bila ya kutoa kiasi chochote cha pesa.
Hata huku pembezoni mwa nchi itfika? Nahofu ya kupoteza mzigo
 
Back
Top Bottom