Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Vizuri ukaagiza Aliexpress...download app ama ingia kwa website yao then agiza mkuu...cmpo tu tena naona saiv kuna version mpya nyngi nyngi zimetoka kama redmi 4x, Mi 6, Mi Mix..yaaani hutajuta...
kama ukitaka kuagiza kabla ya checkout hakikisha umechagua Global ROM(hii ina google play service na store)
Sijawahi agiza kitu online, hivi mzigo ukifika hakuna usumbufu wa kulipa kodi kwa vitu kama simu?
 
e77f5b1c05018a0e9e5fc73ec7b297f5.jpg
 
Chief Mkwawa anasemaje?
mkuu unatakiwa ufahamu simu kama hizo zinakuwa nzito, nene, kioo na camera mbaya, perfomance mbovu etc yani hapo unanunua tu simu yenye battery kubwa. kama unataka kuitumia kama feature phone kupiga simu, msg whatsapp then sio mbaya ila kama unataka ndio iwe simu yako sijui ucheze magame, uangalie video kwa sana, kurun apps nyingi etc achana nayo.

simu nzuri inayokaa sana na chaji kwa sasa huku ikiwa na mambo mengi ya kisasa ni lenovo vibe p2
-utapata battery kubwa la 5100mah
-soc nzuri yenye perfomance kubwa ya snapdragon 625
-kioo kizuri cha super amoled

india inauzwa around 400,000 kwa version ya 32gb na around 500,000 version ya 64gb
 
mkuu unatakiwa ufahamu simu kama hizo zinakuwa nzito, nene, kioo na camera mbaya, perfomance mbovu etc yani hapo unanunua tu simu yenye battery kubwa. kama unataka kuitumia kama feature phone kupiga simu, msg whatsapp then sio mbaya ila kama unataka ndio iwe simu yako sijui ucheze magame, uangalie video kwa sana, kurun apps nyingi etc achana nayo.

simu nzuri inayokaa sana na chaji kwa sasa huku ikiwa na mambo mengi ya kisasa ni lenovo vibe p2
-utapata battery kubwa la 5100mah
-soc nzuri yenye perfomance kubwa ya snapdragon 625
-kioo kizuri cha super amoled

india inauzwa around 400,000 kwa version ya 32gb na around 500,000 version ya 64gb
Uko sawa Chief Mkwawa ,kuhusu Lenovo vibe P1A42,ninayoitumia Mimi naamin hiyo P2 itakua bomba zaidi ya hii yangu ambayo ina mwaka na miezi mitatu na niliagiza India ,sijutii kabisa.
 
Kuna Hii smartphone inaitwa UMIDIGI Battery yake iko poa
fcb5b05852768d8a03ce92c0117b022c.jpg
 
Kuna Hii smartphone inaitwa UMIDIGI Battery yake iko poa
fcb5b05852768d8a03ce92c0117b022c.jpg
wakuu hapa niliweka uzi wa kuzungumzia xiaomi kama ule wa mukulu flani aliozungumzia iphone so hapa tujadili mengi.kuhusu iphone hizo simu zingine zifungulie uzi wke (joking)
 
mkuu unatakiwa ufahamu simu kama hizo zinakuwa nzito, nene, kioo na camera mbaya, perfomance mbovu etc yani hapo unanunua tu simu yenye battery kubwa. kama unataka kuitumia kama feature phone kupiga simu, msg whatsapp then sio mbaya ila kama unataka ndio iwe simu yako sijui ucheze magame, uangalie video kwa sana, kurun apps nyingi etc achana nayo.

simu nzuri inayokaa sana na chaji kwa sasa huku ikiwa na mambo mengi ya kisasa ni lenovo vibe p2
-utapata battery kubwa la 5100mah
-soc nzuri yenye perfomance kubwa ya snapdragon 625
-kioo kizuri cha super amoled

india inauzwa around 400,000 kwa version ya 32gb na around 500,000 version ya 64gb
Hizo simu za Lenovo P2 zinapatiakana wapi kwa Dar kwa bei hizo?
 
Hizo simu za Lenovo P2 zinapatiakana wapi kwa Dar kwa bei hizo?
Nunua mtandao aliexpress zipo ni around dollar 222-240 mpaka inafika bongo mkuu ko ni wastani jiwe 5 na 60 hivi.
Bongo kwanza hazipo na unaweza pigwa si chini ya 800k nakuendelea maana ni simu kali sana.
 
Nimeona kuna mdau kazungumzia hii kitu ya kuagiza vitu hasa simu kupitia EMS wana mtindo wa kubabua yaani wanaiba mitaa ya kenya je? wenye uzoefu hii kitu ikoje wadau maana niko kwenye harakati za kuagiza nami..
Kashauri DHL, FEDEX n.k ila ukiangalia gharama zake zimesimama kiukweli kipi cha kufanya ili mtu usipigwe. Ahsanteh
Uzi husika huuhttps://www.jamiiforums.com/threads/changamoto-za-kuagiza-simu-nje-kwa-njia-ya-regista-na-ems-ya-posta.1377033/
Hayo mambo huwa yanatokea!!!
Nina mshkaji yupo Rochester huwa anatuma mizigo kwa dogo kule Zanzibar karibu mwaka wanne Sasa hata mimi amewahi kunichukulia vitu kule ebay na Amazon hasa wasivyo ship Tz.
Novemba mwaka Jana alimtumia dogo kule zanzibar simu za 1.5milion,
Mzigo ulifika ila kufungua box simu hazipo!!!
Jamaa anasumbuana na watu wa Posta hadi leo.
 
Hayo mambo huwa yanatokea!!!
Nina mshkaji yupo Rochester huwa anatuma mizigo kwa dogo kule Zanzibar karibu mwaka wanne Sasa hata mimi amewahi kunichukulia vitu kule ebay na Amazon hasa wasivyo ship Tz.
Novemba mwaka Jana alimtumia dogo kule zanzibar simu za 1.5milion,
Mzigo ulifika ila kufungua box simu hazipo!!!
Jamaa anasumbuana na watu wa Posta hadi leo.

Ila aliexpress wana refund fasta naskia ila ni vizuri tupate somo jinsi ya kuomba ku refund pesa yako ikitokea mambo kama hizi wenye uzoefu mtupe muongo maana hela inauma kwakweli kipindi hiki tena above 500k
 
Ila aliexpress wana refund fasta naskia ila ni vizuri tupate somo jinsi ya kuomba ku refund pesa yako ikitokea mambo kama hizi wenye uzoefu mtupe muongo maana hela inauma kwakweli kipindi hiki tena above 500k
EBay & aliexpress wote wanakurefund sema uminifu ndiyo unapotea!!!!
Seller wengi kule aliexpress walikuwa wanaship via Singapore post(standard shipping) ila sasa naona wameweka option ya kuship via DHL.
Ladha ya kuagiza inapungua sasa maana gharama za DHL ni kubwa alafu watu wa kodi nao hawachezi mbali.
 
Nunua mtandao aliexpress zipo ni around dollar 222-240 mpaka inafika bongo mkuu ko ni wastani jiwe 5 na 60 hivi.
Bongo kwanza hazipo na unaweza pigwa si chini ya 800k nakuendelea maana ni simu kali sana.
Tatizo la kuagiza nje linabaki pale pale ni kurisk kwa kweli...
Anyway thanks kwa ushauri...
 
Back
Top Bottom