Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Redmi note 4 ni bei gani Kwa sasa?
Hizo kuzipata online kwa sasa ni kwa tabu, coz ya muda kidogo. Tafuta Redmi Note 5
20180925170337_21022.jpeg
20180925170337_19853.jpeg
20180925170337_78474.jpeg
 
Naomba kufahamishwa kati ya
xiaomi redmi note 5 pro vs xiaomi redmi note 6 pro.
Ipi ipo vizuri na kwanini naomba maelezo mazuri mwenye kuweza kuzitofautisha hizi simu.
nimejichanga so nataka kuagiza kitu bora ambacho sitojutia.
Natanguliza shukrani
Chief-Mkwawa
Msauziy
 
Naomba kufahamishwa kati ya
xiaomi redmi note 5 pro vs xiaomi redmi note 6 pro.
Ipi ipo vizuri na kwanini naomba maelezo mazuri mwenye kuweza kuzitofautisha hizi simu.
nimejichanga so nataka kuagiza kitu bora ambacho sitojutia.
Natanguliza shukrani
Chief-Mkwawa
Msauziy

Kimsingi ni model zinazofanana sana kwenye hardware, lakini Redmi Note 6 Pro ni enhanced zaidi kimuonekano, ina flagship camera, notch screen. Pia bei hazitofautiana pakubwa, ni bora ununue Redmi Note 6 Pro, you will never regret.
IMG-20181219-WA0001.jpeg
IMG-20181218-WA0000.jpeg
1227220060-891146672.jpeg
IMG-20181219-WA0000.jpeg
 
Naomba kufahamishwa kati ya
xiaomi redmi note 5 pro vs xiaomi redmi note 6 pro.
Ipi ipo vizuri na kwanini naomba maelezo mazuri mwenye kuweza kuzitofautisha hizi simu.
nimejichanga so nataka kuagiza kitu bora ambacho sitojutia.
Natanguliza shukrani
Chief-Mkwawa
Msauziy
Kamata redmi note 6 pro ndio latest boss
 
Back
Top Bottom