Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Naona hapo 24 Mega Pixel alafu ni front camera. Kuna kaniambia Mi A2 nayenyewe ipo fresh...

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20190118-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani uki cheki online update hakuna mkuu ili upate stable version? Mbona review nyingi zinaonesha inapata automatic update. ( OTA )
 
Kwani uki cheki online update hakuna mkuu ili upate stable version? Mbona review nyingi zinaonesha inapata automatic update. ( OTA )
Online nimekosa hiyo soln nyingi naona wath wanalalamika ndo maana nikaleta humu boss itakuwa vizur kama nawewe ukanisaidia.
 
Imechukua muda gan kufika?
Ulitumia njia gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliagiza Tar 24 Dec 2018 nimeipata Tar 16 Jan 2019 na hii sababu niliagiza msimu wa sikukuu ila Seller yuko fasta sana ndani ya siku 8 tu mzigo ushaingia Tz/Dar.

Njia ni ya POSTA Standard Shipping haizidi hata 10k-by Singapore Airliner hawa ndo career walotumika kuleta mzigo Tz toka HK.

Mengine ni ya kawaida tu katika process za kuagiza mzigo online nadhani humu kuna manguli watakupa msaada zaidi.
 
Niliagiza Tar 24 Dec 2018 nimeipata Tar 16 Jan 2019 na hii sababu niliagiza msimu wa sikukuu ila Seller yuko fasta sana ndani ya siku 8 tu mzigo ushaingia Tz/Dar.

Njia ni ya POSTA Standard Shipping haizidi hata 10k-by Singapore Airliner hawa ndo career walotumika kuleta mzigo Tz toka HK.

Mengine ni ya kawaida tu katika process za kuagiza mzigo online nadhani humu kuna manguli watakupa msaada zaidi.
24 Dec Hadi 16 Jan ni siku 8?
Nijuavyo standard shipping AliExpress ikiwahi Sana Ni siku 12!!
 
Back
Top Bottom