Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,728
Mzigo niliupata, ila baada ya kupigwa panga la TRA.View attachment 1214975
Habari wadau! Msaada naona mzigo wangu tayari umeshaingia nchini, ila unasomeka "held by customs". Maana yake ni nini na ili nipate mzigo wangu natakiwa kufanya nini ?