Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Kamera tano (Penta)Du kitu kina matobo manne nyuma hatari...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamera tano (Penta)Du kitu kina matobo manne nyuma hatari...
Mkuu unawivu hatari maana wadau kuushadadia huu Uzi ndo mapenzi yenyewe haya unataka Uzi upoe? [emoji2]
Kamera tano (Penta)
Mkuu nipe mrejesho wa utendaji kazi wa hiyo simu, uwezo wa kamera na je inapokea updates za androidWadau niliagiza simu umidigi a5 pro Kwa kufata maelekezo ya wadau hapa. Nashukuru leo nimepokea mzigo wangu Mwanza. Sijatozwa hata buku yani
Nawashukuru sana na mbarikiwe. Mmenisaidia sana na nimejifunza mengi na nitaendelea kujifunza.
Mkuu wa unatuma Xiaomi ipiNiliona mbali sana hap nimekutana na mwamba mmoja kutoka China Mr nan Shan kaiona tu xaiomi yangu kakubali kaniuliza uliwahi fika china au umeipata wapi? Hahaaaaasss
Niko na redmi 7 kwa sasaMkuu wa unatuma Xiaomi ipi
Kwa bongo hii naona ni sawa tu.Vpi hyo bei ni sawa??
Hii chuma itauzwa kwa pesa ngapiKamera tano (Penta)
Mi France store inauzwa milioni na laki 6Hii chuma itauzwa kwa pesa ngapi
Mnanitamanisha sana na kitu cha miui ila mawazo yangu yapo kwa mi a3
Hivi mi A3 so huwa inapokea updates za adroid yake kwa wakati??
Wadau naomba msaada kidogo
,mwezi wa 7 mwishoni kuna headphone niliagiza kupitia aliexpress so muda ukawa umepita sana Ile juzi nikachat na muuzaji yeye akaaniambia niopen dispute Sasa Jana nikaopen na Leo hii asubuhi nimepgiwa simu na mtu wa posta kuwa kipaseli kimefika so naomba namna jinsi ya kucancel hyo dispute ili mradi nisirudishiwe hyo pesa maan syo poa
Wasiliana na seller kwanza
Sometime sio lazima ufungue dispute wakati mzigo umeshatumwa
Na kumbuka tracking number nyingine zinaganda tu hazitoi updates,ila utashtuka tu Posta Master anakuita ukachukue mzigo wako (imenikuta hii mara 2).
Nb.
Ukitaka kujifunza nini maana ya uvumilivu ,agiza bidhaa mtandaoni
[emoji4][emoji4][emoji4]
Bado nawakubali Mpesa pamoja na kisanga kilichomkuta BANGO JEUPE .
View attachment 1257973
View attachment 1257975
Virtual card ime expire ila mpunga umerudi fresh tu.
View attachment 1257982
Hawa Equity na BanCAbc wacha wabaki kabatini Isee.
View attachment 1257993
Ndio mkuu
Xiaomi Mi Note 10 (CC9 Pro) 108MP Penta Camera 6GB 128GB MIUI 11 Qualcomm Snapdragon 730G.Inapatikana Kwa pesa ngapi? Za kibongo