Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sijajua kama Tanzania Huawei wana maduka yao ila mimi hata ukiniwekea bastola kwenye paji la uso siwezi kununua simu kutoka kwa ngozi nyeusi!Nakushauri nunua onlineNataka kuchukua P30. Tanzania Huawei wanamaduka yao?