Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.......tatizo mnatujuza tukiwa tushaharibu. Mbona hamkutuambia tulipokuwa wadogo?
"Usinywe maji tu,kunywa na mvinyo kidogo kwa afya ya tumbo lako"......anayejua ni Thimotheo ngapi anikumbushe jamani.
Vipi kuhusu wale watu ambao hawajawahi kunywa pombe maisha yao yote na mpaka sasa ni maskini?
"Usinywe maji tu,kunywa na mvinyo kidogo kwa afya ya tumbo lako"......anayejua ni Thimotheo ngapi anikumbushe jamani.