Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuriHivyo inamaana walevi wote ni kama masheta ni...
Hahhahaha dah.Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place
Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Nyie ndio mnasababisha HKl isiwe deal mjini mixer kudharaulikaMlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuri
Mchungaji wa mchongoWalevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place
Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Mi namshukuru MUNGU sinywi...na namuomba nisinywe kabisa...Mlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuri
Soma vizuri nilicho andika "storage conditions kwa vinywaji na madawa" pombe ni kinywaji.Pombe sio dawa inaua
Duh!Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place
Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Yesu hakugeuza maji kuwa mvinyo yaani pombe kali aligeuza maji kuwa divai yaani juice ya mizabibuSoma vizuri nilicho andika "storage conditions kwa vinywaji na madawa" pombe ni kinywaji.
Kwa quote yako inamaana, Yesu aligeuza maji kuwa sumu ili auwe watu sio ?
Onja weed mkuu, hutajutia.Mi namshukuru MUNGU sinywi...na namuomba nisinywe kabisa...
Sheeeendwaaaa...Onja weed mkuu, hutajutia.
Amen mtumishi. 😂😂Sheeeendwaaaa...
Unahitaji darasa la divai na mvinyo kadiri ya lugha iliotumika kwenye izo quotes za biblia mchungaji wangu.Yesu hakugeuza maji kuwa mvinyo yaani pombe kali aligeuza maji kuwa divai yaani juice ya mizabibu
Mizabibu hutoa vinywaji viwili cha kwanza juice ya zabibu cha pili mvinyo yaani pombe kali
Yesu aligeuza maji kuwa divai sio mvinnyo