Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Hivyo inamaana walevi wote ni kama masheta ni...
Mlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuri
 
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Hahhahaha dah.

Mzee hizo ni recommended storage conditions za vinywaji na madawa kuziepusha na reactions za sunlight na moisture zinazoweza kufanya viharibike na kugeuka kuwa sumu.
 
Mlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuri
Nyie ndio mnasababisha HKl isiwe deal mjini mixer kudharaulika
 
Mlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuri
Mi namshukuru MUNGU sinywi...na namuomba nisinywe kabisa...
 
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Duh!
Acha tu turudi uchumi wa chini!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Soma vizuri nilicho andika "storage conditions kwa vinywaji na madawa" pombe ni kinywaji.

Kwa quote yako inamaana, Yesu aligeuza maji kuwa sumu ili auwe watu sio ?
Yesu hakugeuza maji kuwa mvinyo yaani pombe kali aligeuza maji kuwa divai yaani juice ya mizabibu

Mizabibu hutoa vinywaji viwili cha kwanza juice ya zabibu cha pili mvinyo yaani pombe kali

Yesu aligeuza maji kuwa divai sio mvinnyo
 
Yesu hakugeuza maji kuwa mvinyo yaani pombe kali aligeuza maji kuwa divai yaani juice ya mizabibu

Mizabibu hutoa vinywaji viwili cha kwanza juice ya zabibu cha pili mvinyo yaani pombe kali

Yesu aligeuza maji kuwa divai sio mvinnyo
Unahitaji darasa la divai na mvinyo kadiri ya lugha iliotumika kwenye izo quotes za biblia mchungaji wangu.

Maneno ya kigiriki yaliotumika kwenye ivo vitabu kuhusu mvinyo(kileo au divai kali) na divai tamu kama ulivoiita ni divai tamu “gleukos” au juice ya mzabibu na divai yenye kileo “oinos”.

Neno linalorudiwa mara nyingi katika Biblia ya kigiriki “oinos” sio juice ya mzabibu (divai tamu isio na kileo) bali ni divai yenye kileo (mvinyo). Na sio divai tamu (isio na kileo). “gleukos

Hata katika Yn 2:1-12 “oinos” (mvinyo) hilo ndilo neno linalotokea likimaanisha kwamba ndiyo aina ya divai Yesu Kristo aliyowatengenezea na kuwazawadia watu katika arusi ya Kana (rejea Yn 2:1-12).

Kawaida Wayahudi waliozoea kunywa kiasi divai yenye kileo ndani yake hivyo wasingelimsifia mwandaaji wa harusi ile kwa kuwawekea ‘divai nzuri’ hadi wakati huo.

Ni kusema divai tamu kama ‘juice’ wasingeliita ‘divai nzuri’. Divai isiyo na kileo hata kidogo haitwi divai tamu na watu wanaotumia divai hata kidogo.

YEHODAYA
 
Back
Top Bottom