Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Wenye Biblia agano la kale ni wayahudi
Wana Biblia yao kabisa inaitwa Jewish Bible

Sababu agano la kale ni kati ya Mungu na wayahudi. kanisa lilipotaka kuchukua vitabu vya agano la kale lilichukua vitabu vya Biblia ya wayahudi wanayotumia hadi leo bila kuongeza kitabu au kupunguza

Hicho kitabu chako cha Sira wakatoliki walikiokota majalalani hakiko kwenye Biblia ya wayahudi .Wayahudi hawakitambui kwenye vitabu vyao vya agano la kale na ndio wenye agano lao sio wakatoliki waliookota jalalani hicho kitabu ume quote

Kukurahizishia nenda app store ka download Jewish Bible hicho kitabu hakimo

Na Jewish Bible haijawahi badilika hata kabla ya kanisa katoliki kuanzishwa hadi leo
Vilipunguzwa
Havikuongezwa
Au na hesabu hujui ?
 
Mkatoliki humu kanukuu kitabu cha Sira kuhalalisha pombe

Hivyo vitabu wakatoliki wanavitumia
Wakatoliki wa wapi!!!?? Mimi ni mkatoliki niliyepitia hatua zote za kiimani (ubatizo, kamunio ya kwanza na kipaimara) na katika mafundisho yangu yote sikuwahi kukutana na hicho kitabu, niambie wewe uliyepost hicho kitabu, umekitoa kwenye biblia ipi? Na hiyo biblia ya kikatoliki ni ipi? Vichaa vyenu walokole vina mapungufu makubwa ndomana mnafanywa chochote na manabii wenu.
 
Hizi shule za siku hizi sijui huwa mnasomea nini???
Siyo shule, ni mafundisho ya manabii wao. Kama nabii hana shule kichwani unategenea atafundisha nini? Ujinga umetawala bongo zao.
 
Biblia ya katoliki ina vitabu 72.

Kaulize wakatoliki wenzio au padri wako kama hujui.
Nnachojua Kanisa Katoliki lilipunguza vitabu na si kuongeza, sasa wewe unayesema waliongeza uje hapa na ushahidi kututhibitishia.
Mimi kama mkatoliki nnachojua kanisa lilipunguza vitabu kadhaa vilivyokuwa na mashaka kutokana na mafundisho yake, mfano ni kile kilichoruhusu ndoa za mke zaidi ya mmoja na vinginevyo vingi. Leo hii mjinga mmoja anasema waliongeza vitabu! Ndomana nasema ELIMU ELIMU ELIMU
 
True mtumishi, thus pombe ni asili ya dhambi
 
Wakatoliki wa wapi!!!?? Mimi ni mkatoliki niliyepitia hatua zote za kiimani (ubatizo, kamunio ya kwanza na kipaimara) na katika mafundisho yangu yote sikuwahi kukutana na hicho kitabu, niambie wewe uliyepost hicho kitabu, umekitoa kwenye biblia ipi? Na hiyo biblia ya kikatoliki ni ipi? Vichaa vyenu walokole vina mapungufu makubwa ndomana mnafanywa chochote na manabii wenu.
Usipate shida nenda play sttore app

Download Catholic Bible tuangalie ina vitabu vingapi ina 72 tofauti na ya wakristo.wengine wasio wakatoliki ambayo ina vitabu 66

Kama hujui kuwa kuna Biblia ya katoliki ukatoliki wako wa juu juu

Anyway padri wako unaye kamuulize kuhusu hiyo Biblia ya kikatoliki kuwa ina vitabu vingapi na akutajie
 
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Wewe ni kenge kwenye msafara wa mamba huijui pombe na hujui hata nini maana ya nguvu za Giza
 
Usipate shida nenda play sttore app

Download Catholic Bible tuangalie ina vitabu vingapi ina 72 tofauti na ya wakristo.wengine wasio wakatoliki ambayo ina vitabu 66

Kama hujui kuwa kuna Biblia ya katoliki ukatoliki wako wa juu juu

Anyway padri wako unaye kamuulize kuhusu hiyo Biblia ya kikatoliki kuwa ina vitabu vingapi na akutajie
Kanisa pekee lililobaki katika misingi ya imani ya Kikristo ni Kanisa katoliki, huko hautasikia habari za kuhubiriwa mali na utajiri, huko unalishwa neno la rohoni tu. Magari, Majumba na Utajiri utavipata kwa juhudi zako. Hao walokole na manabii zao ndo kutwa kuhubiriana utajiri na fahari za Dunia!
 
Nnachojua Kanisa Katoliki lilipunguza vitabu na si kuongeza, sasa wewe unayesema waliongeza uje hapa na ushahidi kututhibitishia
Halikupunguza liliongeza

Biblia agano la kale lina vitabu 39 hivyo vitabu ndivyo vilivyomo.kwenye Jewish Bible.Biblia hiyo ya kiyahudi wayahudi hutumia toka hata ukristo haujaanza hadi.leo hii iko hivyo hivyo.Makanisa tote nje ya ukatoliki waliyokubaliana kuwa sababu agano la kale linahusu wayahudi na Mungu basi vitabu vyote vilivyomo.kwenye Biblia ya wayahudi vichululiwe kuwa ndio agano la kale vichukuliwe kama vilivyo

Kanisa katoliki likachukua vitabu hivyo 39 kama vilivyo halafu likaongeza vitabu vingine 6 kama via tobiti,makabayo Joshua bin Sira nk walikoviokota jalala lipi wanajua wenyewe.Hivyo kufanya vitabu vya agano la kale la Biblia ya wakatoliki kuwa na vitabu 45

Wakatoliki waliongeza vitabu sita kwenye agano la kale kutoka 39 hadi 45
 
biblia ya kikatoliki ni ipi? Vichaa vyenu walokole vina mapungufu makubwa ndomana mnafanywa chochote na manabii wenu.
Ngoja nicheke

Hilo swali ukienda kumuuliza padri wako kuwa Biblia ya kikatoliki ndio ipi? Atatikisa kichwa na kutamani kulia.Kuwa ana mkatoliki ambaye hajui hata kuwa kuna Biblia ya katoliki!!!.Ataushangaa ukatoliki wako nakuhakikishia.
 
Yale maji yaliogeuzwa divai na nabii ISSA , hiyo divai ambayo ni kileo kilihifadhiwa sehemu ya Giza?. Pombe ni kiburudisho, haina mambo ya giza ila ukizidisha utakuwa na ujasiri wa kufanya mambo ya giza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom