Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kawaulize mapadri katoliki agano la kale la Biblia Vitabu walitoa wapi vinavyozidi Jewishi Bible kama makabayo ,Yoshua Bin Sira
nk wakati wayahudi walikuwa na Biblia yao tayari yenye vitabu vya agano Lao na Mungu

Wakristo madhehebu yote nje ya katoliki tumechukua vitabu vyote vya Jewish Bible kama agano la kale kwa sababu ni lao

Katoliki ndio wakaongeze vitabu vingine nje ya Jewish Bible ambavyo wayahudi wenye agano Lao hawavitambui na hawakuviweka kwenye Biblia yao inayotambuliwa na makanisa yote yasiyo katoliki

Ndio maana nasema kanisa katoliki liliviokota majalalani

Kasome hivyo vitabu kanisa katoliki liliviingiza lini kwenye Biblia yao ambayo havitambuliwi na makanisa mengine yasiyo ya kikatoliki waki vi vinukuu hivyo vitabu extra

Jibu wewe.
 
Haikuchachuka ni divai alcohol 0%.
Yea Yesu hakuwa baa maid wala chapombe kunywesha watu pombe harusini
"Oinos"ni mvinyo (divai yenye kileo ndani yake) na sio "gleukos" juice tuu au divai isiyo na kileo.

Yesu aligeuza mapipa ya maji kuwa "oinos" divai yenye kileo au mvinyo au pombe na sio "gleukos" non alcoholic 0%.

Karejee lugha asili ya biblia iliotumika huko kwenye icho kitabu cha Yohane.
 
matatizo ya kukurupuka kwenye imani kama wachungaji wapya
 
Unahitaji darasa la divai na mvinyo kadiri ya lugha iliotumika kwenye izo quotes za biblia mchungaji wangu.

Maneno ya kigiriki yaliotumika kwenye ivo vitabu kuhusu mvinyo(kileo au divai kali) na divai tamu kama ulivoiita ni divai tamu “gleukos” au juice ya mzabibu na divai yenye kileo “oinos”.

Neno linalorudiwa mara nyingi katika Biblia ya kigiriki “oinos” sio juice ya mzabibu (divai tamu isio na kileo) bali ni divai yenye kileo (mvinyo). Na sio divai tamu (isio na kileo). “gleukos

Hata katika Yn 2:1-12 “oinos” (mvinyo) hilo ndilo neno linalotokea likimaanisha kwamba ndiyo aina ya divai Yesu Kristo aliyowatengenezea na kuwazawadia watu katika arusi ya Kana (rejea Yn 2:1-12).

Kawaida Wayahudi waliozoea kunywa kiasi divai yenye kileo ndani yake hivyo wasingelimsifia mwandaaji wa harusi ile kwa kuwawekea ‘divai nzuri’ hadi wakati huo.

Ni kusema divai tamu kama ‘juice’ wasingeliita ‘divai nzuri’. Divai isiyo na kileo hata kidogo haitwi divai tamu na watu wanaotumia divai hata kidogo.

YEHODAYA
Hii ni kweli japo walokole hawatakuelewa,maana wameaminishwa kuwa Yesu alitengeneza juisi ya mzabibu akati biblia yenyewe inasema alitengeneza mvinyo( wine) iliyo na kilevi. Mvinyo ndiyo iliyokuwa inatumika hata kwenye meza ya bwana na sio chemicola kama wanavyofanya walokole.
 
Unahitaji darasa la divai na mvinyo kadiri ya lugha iliotumika kwenye izo quotes za biblia mchungaji wangu.

Maneno ya kigiriki yaliotumika kwenye ivo vitabu kuhusu mvinyo(kileo au divai kali) na divai tamu kama ulivoiita ni divai tamu “gleukos” au juice ya mzabibu na divai yenye kileo “oinos”.

Neno linalorudiwa mara nyingi katika Biblia ya kigiriki “oinos” sio juice ya mzabibu (divai tamu isio na kileo) bali ni divai yenye kileo (mvinyo). Na sio divai tamu (isio na kileo). “gleukos

Hata katika Yn 2:1-12 “oinos” (mvinyo) hilo ndilo neno linalotokea likimaanisha kwamba ndiyo aina ya divai Yesu Kristo aliyowatengenezea na kuwazawadia watu katika arusi ya Kana (rejea Yn 2:1-12).

Kawaida Wayahudi waliozoea kunywa kiasi divai yenye kileo ndani yake hivyo wasingelimsifia mwandaaji wa harusi ile kwa kuwawekea ‘divai nzuri’ hadi wakati huo.

Ni kusema divai tamu kama ‘juice’ wasingeliita ‘divai nzuri’. Divai isiyo na kileo hata kidogo haitwi divai tamu na watu

Waprotestanti hawana kitabu hicho kwenye biblia yao.Elewa ya kwamba biblia ya wakatoliki ina vitabu vingi kuliko hii ya waprotestanti yenye vitabu 66.
Historia ya kanisa kuna mambo yaliingizwa ktk taratibu za kanisa yakaleta ukakasi na ukinzani.Na ndio maana kuna mambo yalipingwa kabisa tangu hapo na kupelekea mgawanyiko wa kanisa.
Hivyo ndio maana vitabu fulani kwa protestanti wote havitumiki mf hiki cha Sira ulichokitaja ambacho kinachagiza watu kunywa pombe.Hakipo.Ila RC wanacho na ndio wanasimamia hapo kwenye suala la kunywa.Pia mambo ya misa za wafu na kutoa fedha ili mtu aliyekufa asamehewe dhambi.Kule protestanti hayapo.
 
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Na dawa za binadamu zimeandikwaje?
 
Wenye Biblia agano la kale ni wayahudi
Wana Biblia yao kabisa inaitwa Jewish Bible

Sababu agano la kale ni kati ya Mungu na wayahudi. kanisa lilipotaka kuchukua vitabu vya agano la kale lilichukua vitabu vya Biblia ya wayahudi wanayotumia hadi leo bila kuongeza kitabu au kupunguza

Hicho kitabu chako cha Sira wakatoliki walikiokota majalalani hakiko kwenye Biblia ya wayahudi .Wayahudi hawakitambui kwenye vitabu vyao vya agano la kale na ndio wenye agano lao sio wakatoliki waliookota jalalani hicho kitabu ume quote

Kukurahizishia nenda app store ka download Jewish Bible hicho kitabu hakimo

Na Jewish Bible haijawahi badilika hata kabla ya kanisa katoliki kuanzishwa hadi leo
Hao wakatoliki waliokiokota huko majalalani mbona hawakitumii!!!? Acheni kuchafua madhehebu ya watu.
 
Kawaulize mapadri katoliki agano la kale la Biblia Vitabu walitoa wapi vinavyozidi Jewishi Bible kama makabayo ,Yoshua Bin Sira
nk wakati wayahudi walikuwa na Biblia yao tayari yenye vitabu vya agano Lao na Mungu

Wakristo madhehebu yote nje ya katoliki tumechukua vitabu vyote vya Jewish Bible kama agano la kale kwa sababu ni lao

Katoliki ndio wakaongeze vitabu vingine nje ya Jewish Bible ambavyo wayahudi wenye agano Lao hawavitambui na hawakuviweka kwenye Biblia yao inayotambuliwa na makanisa yote yasiyo katoliki

Ndio maana nasema kanisa katoliki liliviokota majalalani

Kasome hivyo vitabu kanisa katoliki liliviingiza lini kwenye Biblia yao ambayo havitambuliwi na makanisa mengine yasiyo ya kikatoliki waki vi vinukuu hivyo vitabu extra
Unaandika usicho na ufahamu nacho, unaweza kututhibitishia kuwa wakatoliki wana biblia yao yenye hivyo vitabu unavyosema? Mimi ni Mkatoliki na sijawahi kuvifahamu hivyo vitabu lakini nashangaa mjinga mmoja anasema ni vya kikatoliki! Huko kwa matapeli wa kiroho huwa mnafundishwa ujinga kumbe!
 
Hao wakatoliki waliokiokota huko majalalani mbona hawakitumii!!!? Acheni kuchafua madhehebu ya watu.
Mkatoliki humu kanukuu kitabu cha Sira kuhalalisha pombe

Hivyo vitabu wakatoliki wanavitumia
 
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Hizi shule za siku hizi sijui huwa mnasomea nini???
 
Unaandika usicho na ufahamu nacho, unaweza kututhibitishia kuwa wakatoliki wana biblia yao yenye hivyo vitabu unavyosema? Mimi ni Mkatoliki na sijawahi kuvifahamu hivyo vitabu lakini nashangaa mjinga mmoja anasema ni vya kikatoliki! Huko kwa matapeli wa kiroho huwa mnafundishwa ujinga kumbe!
Biblia ya katoliki ina vitabu 72.

Kaulize wakatoliki wenzio au padri wako kama hujui.
 
Waprotestanti hawana kitabu hicho kwenye biblia yao.Elewa ya kwamba biblia ya wakatoliki ina vitabu vingi kuliko hii ya waprotestanti yenye vitabu 66.
Historia ya kanisa kuna mambo yaliingizwa ktk taratibu za kanisa yakaleta ukakasi na ukinzani.Na ndio maana kuna mambo yalipingwa kabisa tangu hapo na kupelekea mgawanyiko wa kanisa.
Hivyo ndio maana vitabu fulani kwa protestanti wote havitumiki mf hiki cha Sira ulichokitaja ambacho kinachagiza watu kunywa pombe.Hakipo.Ila RC wanacho na ndio wanasimamia hapo kwenye suala la kunywa.Pia mambo ya misa za wafu na kutoa fedha ili mtu aliyekufa asamehewe dhambi.Kule protestanti hayapo.
Thibitisha kama kweli hicho kitabu kinatumiwa na wakatoliki, punguzeni chuki nyie Kondoo. Kwa mwandiko wako huu naweza kukisia hata kiwango chako cha elimu...ungekuwa umenoa bongo usingeweza kuandika vitu usivyo na uhakika navyo. Hapa nna biblia ya kikatoliki na ni biblia ileile inayotumiwa na makanisa yote wala haijaandikwa ya wakatoliki. Huko kwa mashetani yenu mnayoyaita manabii huwa mnalishwa nini!!?
 
Back
Top Bottom