Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Ata kama unatetea maandiko jitaidi kutetea kitaalam usimuaibishe Mungu.
Hiv unajua kuwa mafuta (yakula na yakupaka), vipodozi, madawa, vinywaji baridi navyo wamevi-recommend hivyo kwenye swala la storage? Hapo bado pembejeo za kilimo ( madawa ya mifugo na mazao) pia vimeandikwa hvyo kwaiyo navyo vinatumia njia za giza?
Ilipoandikwa mshike sana elimu.. haikumanisha elimu ya dini pekee.
Jifunze kukaa kimya kama kitu ukijui nyie ndio mnafanya wakristu waonekane wajinga
Hiv unajua kuwa mafuta (yakula na yakupaka), vipodozi, madawa, vinywaji baridi navyo wamevi-recommend hivyo kwenye swala la storage? Hapo bado pembejeo za kilimo ( madawa ya mifugo na mazao) pia vimeandikwa hvyo kwaiyo navyo vinatumia njia za giza?
Ilipoandikwa mshike sana elimu.. haikumanisha elimu ya dini pekee.
Jifunze kukaa kimya kama kitu ukijui nyie ndio mnafanya wakristu waonekane wajinga