Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Ata kama unatetea maandiko jitaidi kutetea kitaalam usimuaibishe Mungu.
Hiv unajua kuwa mafuta (yakula na yakupaka), vipodozi, madawa, vinywaji baridi navyo wamevi-recommend hivyo kwenye swala la storage? Hapo bado pembejeo za kilimo ( madawa ya mifugo na mazao) pia vimeandikwa hvyo kwaiyo navyo vinatumia njia za giza?
Ilipoandikwa mshike sana elimu.. haikumanisha elimu ya dini pekee.
Jifunze kukaa kimya kama kitu ukijui nyie ndio mnafanya wakristu waonekane wajinga
 
"Oinos"ni mvinyo (divai yenye kileo ndani yake) na sio "gleukos" juice tuu au divai isiyo na kileo.

Yesu aligeuza mapipa ya maji kuwa "oinos" divai yenye kileo au mvinyo au pombe na sio "gleukos" non alcoholic 0%.

Karejee lugha asili ya biblia iliotumika huko kwenye icho kitabu cha Yohane.
hapa ndio utaelewa kwann waislam hawataki Quran itasfiriwe kwenye lugha nyingne hii ndio faida yake.
 
Wakatoliki wa wapi!!!?? Mimi ni mkatoliki niliyepitia hatua zote za kiimani (ubatizo, kamunio ya kwanza na kipaimara) na katika mafundisho yangu yote sikuwahi kukutana na hicho kitabu, niambie wewe uliyepost hicho kitabu, umekitoa kwenye biblia ipi? Na hiyo biblia ya kikatoliki ni ipi? Vichaa vyenu walokole vina mapungufu makubwa ndomana mnafanywa chochote na manabii wenu.
Da!! Sio kwa povu hilo.Ukute kitabu ulichonacho ni misale..biblia yenu hujawahi hata kushika.Unasomewa tu vifungu jpili.
 
Nnachojua Kanisa Katoliki lilipunguza vitabu na si kuongeza, sasa wewe unayesema waliongeza uje hapa na ushahidi kututhibitishia.
Mimi kama mkatoliki nnachojua kanisa lilipunguza vitabu kadhaa vilivyokuwa na mashaka kutokana na mafundisho yake, mfano ni kile kilichoruhusu ndoa za mke zaidi ya mmoja na vinginevyo vingi. Leo hii mjinga mmoja anasema waliongeza vitabu! Ndomana nasema ELIMU ELIMU ELIMU
Usemi wako unainyesha huna sifa za ukristo.Umejaa majivuno, kiburi na dharau.Pia unaamini umesoma sana na mtu mwenye mawazo tofauti na yako ni mjinga sana.
Jitafakari dunia ni zaidi ya uijuavyo.Be humble it pays a lot
Usitukane tukan, after all ukristo unajiteteaga wenyewe
 
Back
Top Bottom