hapa ndio utaelewa kwann waislam hawataki Quran itasfiriwe kwenye lugha nyingne hii ndio faida yake."Oinos"ni mvinyo (divai yenye kileo ndani yake) na sio "gleukos" juice tuu au divai isiyo na kileo.
Yesu aligeuza mapipa ya maji kuwa "oinos" divai yenye kileo au mvinyo au pombe na sio "gleukos" non alcoholic 0%.
Karejee lugha asili ya biblia iliotumika huko kwenye icho kitabu cha Yohane.
Da!! Sio kwa povu hilo.Ukute kitabu ulichonacho ni misale..biblia yenu hujawahi hata kushika.Unasomewa tu vifungu jpili.Wakatoliki wa wapi!!!?? Mimi ni mkatoliki niliyepitia hatua zote za kiimani (ubatizo, kamunio ya kwanza na kipaimara) na katika mafundisho yangu yote sikuwahi kukutana na hicho kitabu, niambie wewe uliyepost hicho kitabu, umekitoa kwenye biblia ipi? Na hiyo biblia ya kikatoliki ni ipi? Vichaa vyenu walokole vina mapungufu makubwa ndomana mnafanywa chochote na manabii wenu.
Usemi wako unainyesha huna sifa za ukristo.Umejaa majivuno, kiburi na dharau.Pia unaamini umesoma sana na mtu mwenye mawazo tofauti na yako ni mjinga sana.Nnachojua Kanisa Katoliki lilipunguza vitabu na si kuongeza, sasa wewe unayesema waliongeza uje hapa na ushahidi kututhibitishia.
Mimi kama mkatoliki nnachojua kanisa lilipunguza vitabu kadhaa vilivyokuwa na mashaka kutokana na mafundisho yake, mfano ni kile kilichoruhusu ndoa za mke zaidi ya mmoja na vinginevyo vingi. Leo hii mjinga mmoja anasema waliongeza vitabu! Ndomana nasema ELIMU ELIMU ELIMU