Walezi wa siku hizi malezi ni ziro wengi wao, hili jambo si mara ya kwanza kuliona

Walezi wa siku hizi malezi ni ziro wengi wao, hili jambo si mara ya kwanza kuliona

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Habari wakuu wenzangu

Unakuta mtu yupo bize na smart phone kuliko malezi au kumjali mtoto, unakuta mtoto katundikiwa mziwa mama hajali kama mtoto ananyonya kupitia pua au mdomo ye ni bize na kuperuzi tu,

Jambo lililonikera ni moja tu, nimekutana na mama mmoja ni mnenee tako iloo yani shape yake nikisema nimkumbatie kwa nyuma mikono yangu haikutani kwa mbele

Amembeba mtoto wa miaka miwili kama si mmoja na nusu mgongoni yani yule mtoto hata kutambaa nahisi ndo anaanza,

Aisee katanua miguu ya yule mtoto eti a-fit ktk kiuno chake kama kambeba mtu mzima, nimeingiwa na mshtuko sana nilivyoona yule mtot alivyo tawanyishwa vile vimguu,

Ubaya zaid ni usiku halafu mtoto anabebwa mgongoni mama yupo bize na simu njiani, akawa kama kabeba begi,

Daah embu wazazi wa kike mnapobeba mtot mgongoni jaribuni kuangalia miili yenu angalauu mfunge kiubavuni

Nilitamani kumfuata nimweleze ila alikuwa mbali kidogo
 
Utandawazi..mitandao.. technologia .. sim ningepewa nafasi kufutilia mbali ningeipoteza hii kitu hasa kwa AFRICA.. wametuletea hiyo kitu na elimu hawakutuletea inatuendesha tu daah.. ukahaba, uzinzi, mimba za utotoni, mmomonyoko wa maadili, watoto wa kiume kugeuka wakike, porno-kuangalia picha chafu.. watoto wa kike kuvutiwa na wasagaji.. yaani tafalani.. AFRICA wameivunja vunja kupitia huo ujinga
 
H
Utandawazi..mitandao.. technologia .. sim ningepewa nafasi kufutilia mbali ningeipoteza hii kitu hasa kwa AFRICA.. wametuletea hiyo kitu na elimu hawakutuletea inatuendesha tu daah.. ukahaba, uzinzi, mimba za utotoni, mmomonyoko wa maadili, watoto wa kiume kugeuka wakike, porno-kuangalia picha chafu.. watoto wa kike kuvutiwa na wasagaji.. yaani tafalani.. AFRICA wameivunja vunja kupitia huo ujinga
apa una type kwa kutumia nini Mkuu?
 
Unamzungumzia huyo?
Nimemwona pia

20220126_011234.jpg
 
Habari wakuu wenzangu

Unakuta mtu yupo bize na smart phone kuliko malezi au kumjali mtoto, unakuta mtoto katundikiwa mziwa mama hajali kama mtoto ananyonya kupitia pua au mdomo ye ni bize na kuperuzi tu,

Jambo lililonikera ni moja tu, nimekutana na mama mmoja ni mnenee tako iloo yani shape yake nikisema nimkumbatie kwa nyuma mikono yangu haikutani kwa mbele

Amembeba mtoto wa miaka miwili kama si mmoja na nusu mgongoni yani yule mtoto hata kutambaa nahisi ndo anaanza,

Aisee katanua miguu ya yule mtoto eti a-fit ktk kiuno chake kama kambeba mtu mzima, nimeingiwa na mshtuko sana nilivyoona yule mtot alivyo tawanyishwa vile vimguu,

Ubaya zaid ni usiku halafu mtoto anabebwa mgongoni mama yupo bize na simu njiani, akawa kama kabeba begi,

Daah embu wazazi wa kike mnapobeba mtot mgongoni jaribuni kuangalia miili yenu angalauu mfunge kiubavuni

Nilitamani kumfuata nimweleze ila alikuwa mbali kidogo
Mungu atusaidie tu kwa kweli
 
Achilia mbali simu, ni ugonjwa wa wengi.

Hapo pa kumtanwanya mwanae miguu, ulitaka ambebe shingoni au amburuze chini?
Embu sikia sijakataa mtoto kubebwa mgongoni,ila si vizuri kwa usiku mtoto kubebwa mgongoni yani unamwacha nyuma ,pia yule mama mwili wake hauruhusu kumweka mtoto mgongoni ikizingatiwa zipo staili nyingi za kubwabwa mtoto
 
picha haiji sababu kwa shape hiyo iliyomchanganya kiuno ni chembamba na tako ni kubwa.

Hivyo mtoto amekaa vizuri tu, kakalia tako la mamake na miguu yake haina neno.
Hapana kiuno si chembamba ni shape zile za pande la mtu
 
Back
Top Bottom