Ngoja nimpikie shost wako hili pishi leo!nitakupa mrejesho kama atalipenda!
Asante sana mmy
Jaan umeniamsha kwa harufu...lol
Safi sana farkhina....
toba roho yangu, hayo makuku!!!!!!!!!!!!!!!!! hivi naweza kutumia kuku wa kienyeji badala wa kizungu maana wa kizungu siku hizi hapandi kabisa. i think this week end ntajaribu. yhanks habibty
Yaani we acha tu
Thanks sana..
aiseee harufu imenukia asubuh asubuh