Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
Yeah mwari hujambo?
Sijambo somo ake...hofu kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah mwari hujambo?
Sijambo somo ake...hofu kwako
Mie mzima sana wala usihofu
Nashukuru, Nakuombea Siha njema tuu, uzidi kutupa mambo humu. Siku hizi mwari Niko nondo hatari...
Habibty weee sivyo hivyo mpikie bwana kwanza umlishe yeye ashibe halafu ule weye au mlishane ati
Mahitaji:
1.Mchele nusu kilo.
2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi.
3.Carrot 1 ikwangue.
4.Green peas/njegere kiasi.
5.Kitunguu kikubwa kimoja.
6.Mchanganyiko wa spices upendazo.
7.Kotmir au persley ukipenda.
8.Mafuta ya kupikia.
Namna ya kutaarisha:
Weka mafuta kiasi katika sufuria
Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni.
Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.
Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo.
Punguzia moto weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva.
Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu.
Epua tayari kwa kuliwa.
Ha ha haaaaa. Asante mwaya. Hiyo ya kulishana tushaacha zamani, wacha turudishe mahaba ya awali. Lol
Hivi dada umeolewa?
Hivi wapi nitapata mafunzo ata online ya mapishi ya kiafrika lakin yawe yameandikwa kwa english?
Ordaer hapo kwenye link hizo mbili utaletewa mpaka home mimi ninavyo hivyo vyote viwili.
70 Traditional African Recipes: Authentic classic dishes from all over Africa adapted for the Western kitchen--all shown step-by-step in 300 simple-to-follow photographs by Rosamund Grant | 9781844764495 | Paperback | Barnes & Noble
African recipes, African cooking and African Cookbooks, The African Recipes Book, Real food from Africa
Ndio mana nkakuita uje ujionee mambo mapya
Sitocheza mbali tena
Hahahahah weee cheza tu utajuta wenzio tushashiba sahani nyeupe vitumbo mbwiiii
Hahahahaaaa pls nextime ukiona nachelewa nistue hata kwa pm, hasa pishi likiwa ni la vyakula bahari