Wali kuku wa kukaanga

Wali kuku wa kukaanga

Mahitaji:

1.Mchele nusu kilo.

2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi.

3.Carrot 1 ikwangue.

4.Green peas/njegere kiasi.

5.Kitunguu kikubwa kimoja.

6.Mchanganyiko wa spices upendazo.

7.Kotmir au persley ukipenda.

8.Mafuta ya kupikia.

Namna ya kutaarisha:

Weka mafuta kiasi katika sufuria

Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni.

Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.

Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo.

Punguzia moto weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva.

Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu.

Epua tayari kwa kuliwa.


Asante sana dia...........
 
Mahitaji:

1.Mchele nusu kilo.

2.Kuku 1 kata vipande vipande...mroweke na tangawizi na chumvi.

3.Carrot 1 ikwangue.

4.Green peas/njegere kiasi.

5.Kitunguu kikubwa kimoja.

6.Mchanganyiko wa spices upendazo.

7.Kotmir au persley ukipenda.

8.Mafuta ya kupikia.

Namna ya kutaarisha:

Weka mafuta kiasi katika sufuria

Mkaange kuku hadi awe golden brown alafu mtoe weka pembeni.

Kaanga vitunguj maji kikikaribia kuwa brown weka peas na carrot wacha viwive kwa dakika 2-5.

Weka mchele changanya vizuri...weka kuku wako ulimkaanga na weka kotmir uliokata ndogo ndogo.

Punguzia moto weka maji kutokana na mchele wako na funika sufuria hadi kuwiva.

Kama haukauka vizuri weka katika oven au wekea mkaa juu.

Epua tayari kwa kuliwa.

Sasa hii ni pilau ya kuku ama? Makevsijaelewa mie@...!
 
Back
Top Bottom