Wali kuku wa kukaanga

Habibty weee sivyo hivyo mpikie bwana kwanza umlishe yeye ashibe halafu ule weye au mlishane ati

Ha ha haaaaa. Asante mwaya. Hiyo ya kulishana tushaacha zamani, wacha turudishe mahaba ya awali. Lol
 

Hivi dada umeolewa?
 
farkhina naomba ukiwa unaweka pishi humu uwe unaniita.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah weee cheza tu utajuta wenzio tushashiba sahani nyeupe vitumbo mbwiiii

Hahahahaaaa pls nextime ukiona nachelewa nistue hata kwa pm, hasa pishi likiwa ni la vyakula bahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…