Wali kupika kwa gesi, unaweza kukausha?

Wali kupika kwa gesi, unaweza kukausha?

Sema uwe na muda wa kutosha, usiwe Na haraka. Uwe na nafasi ndipo upike kuibeba vizuri Na kukauka well.
 
man ukiona shida sana fanya hivi nnavyokuelekeza.. na si kwa jiko la gesi tuu hata ukitaka kupika kwa moto wa Hita.

Chambua osha kisha loweka kwa dk 3 au 5 chuikua mchele wako weka ndani ya mfuko wa plastk usiopitisha maji.. weka chimvi na mafuta funga mfuko wako vizuri.

ukiwasha jiko bandika sufuria la maji tumbikiza mfuko wako ndani kaa dk 10 wali tayari.



Kutumia hayo malailoni ni hatari kubwa sana kuliko maelezo kwa afya ya mtu.
 
Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
Mi nafanya ivi napikia wali kwenye gesi ukishakakamia naomba moto kwa jirani wa kupalia pale juu kwaiyo chin unakuwa moto wa gesi kidogo juu naweka mkaa wa moto kidogo kama jilani hana moto basi napamban iv iv kwenye gesi kwa kutumia moto mdogo mdogo hadi wali ukauke.
 
Wakuu nipeni ujuzi hapa,

Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuria, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda itanisaidia kuivisha vizuri.

Kwa sasa sijaoa, mchumba wangu ni Mtumishi wa Umma anakujaga weekend tu na anapenda kupika vitu vya kukaangakaanga tu.
 
Wakuu nipeni ujuzi hapa,, Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana,, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuri, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda itanisaidia kuivisha vizuri.
Kwa Sasa sijaoa, mchumba wangu ni Mtumishi wa Umma anakujaga weekend tu na anapenda kupika vitu vya kukaangakaanga tu.

Fanya hivi..., kwanza ukaange na mafuta kisha tia maji ya baridi...., moto uwe kiasi..., pili ukianza kukauka maji weka mfuniko wa bati au chuma chini ya sufuria hapo sasa uache uendelee kuiva pole pole ila uwe unauangalia. Hiyo ndio siri ya kambi [emoji2308][emoji2308]
 
Fanya hivi..., kwanza ukaange na mafuta kisha tia maji ya baridi...., moto uwe kiasi..., pili ukianza kukauka maji weka mfuniko wa bati au chuma chini ya sufuria hapo sasa uache uendelee kuiva pole pole ila uwe unauangalia. Hiyo ndio siri ya kambi [emoji2308][emoji2308]
Asante Julymeme nimepata Somo hapa
 
Wakuu nipeni ujuzi hapa,, Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana,, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuri, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda itanisaidia kuivisha vizuri.
Kwa Sasa sijaoa, mchumba wangu ni Mtumishi wa Umma anakujaga weekend tu na anapenda kupika vitu vya kukaangakaanga tu.
Rahisi sana, maji yakishachemka na ukishatia mchele wako acha uchemke kiasi na huo moto wako mkali unaowekaga kila siku, kama dk3 hivi then shusha moto wa gesi Yako uwe wa chini sanaaa acha kiumane taraaaatibu, wali utaiva vizur na utafurahia mbona na sufuri hataungua ila utaitoboa kwasabb Koko la huo wali linakuatamu mno
 
Wakuu nipeni ujuzi hapa,, Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana,, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuria, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda itanisaidia kuivisha vizuri.
Kwa Sasa sijaoa, mchumba wangu ni Mtumishi wa Umma anakujaga weekend tu na anapenda kupika vitu vya kukaangakaanga tu.
Nunua pressure cooker ya Von (around 250k) au kama una kauwezo kidogo nunua ya Nutri cook (around 300k).

Ukiwa na hizo ni swala la kubonyeza button wali unaiva.
 
Nunua pressure cooker ya Von (around 250k) au kama una kauwezo kidogo nunua ya Nutri cook (around 300k).

Ukiwa na hizo ni swala la kubonyeza button wali unaiva.
Kama ni gharama kuokoa gharama anunue rice cooker.

Bei haizidi laki.
 
Wakuu nipeni ujuzi hapa,, Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana,, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuria, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda itanisaidia kuivisha vizuri.
Kwa Sasa sijaoa, mchumba wangu ni Mtumishi wa Umma anakujaga weekend tu na anapenda kupika vitu vya kukaangakaanga tu.
Nunua pressure cooker ya Von (around 250k) au kama una kauwezo kidogo nunua ya Nutri cook (around 300k).

Ukiwa na hizo ni swala la kubonyeza button wali unaiva.
 
Wakuu nipeni ujuzi hapa,, Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana,, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuria, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda itanisaidia kuivisha vizuri.
Kwa Sasa sijaoa, mchumba wangu ni Mtumishi wa Umma anakujaga weekend tu na anapenda kupika vitu vya kukaangakaanga tu.
Achana na rice cooker tafuta pressure cooker walau ya Von hutojuta!

Utakua unakula wali ulionyooka kama umenyooshwa na rula
 
Back
Top Bottom