Wali wa kitunguu

Hilo nalitambua, nimeamua tu kufanya masihara kufurahisha watu tuongeze siku za kuishi.

Lakini tukiweka utani pembeni kitunguu ni dawa hasa ukikitafuna kibichi. Tatizo harufu mdomoni, tena usiombe utafune kitunguu swaumu.
Kwa kweli umejua kunichekesha,

Yes kitunguu ni dawa sana na hata kwenye milo yetu ni vema kuweka vingi sio kitunguu kimoja kinakwatwa leo na kesho, lol,

Kitunguu swaumu nimekila sana kupunguza mwili (unfortunately umerudi tena kipindi hiki cha Corona, [emoji31])
 
Ni sababu ipi ya msingi inawafanya wapishi wakaange vitunguu hadi viungulie? Ile ni zaidi ya kuiva, haina madhara kiafya kweli? Inakua kama mkaa
Naomba ili swali akujibu Khantwe maana ye ndiyo amesemea kuunguza vitunguu, ila kwa mimi siunguzagi kabisa na pia sipendi maana kikishaungua tu ladha inabadilika na kuwa mbaya
 
Naomba ili swali akujibu Khantwe maana ye ndiyo amesemea kuunguza vitunguu, ila kwa mimi siunguzagi kabisa na pia sipendi maana kikishaungua tu ladha inabadilika na kuwa mbaya
Wahindi wanasema wali unakua mtamu tu wala hauiwi na ladha ya kuungua, kumbe Khantwe kagundua pishi matata,



 

Siku mkienda tena kwenye vikao vya kugawiwa miili ( nyama) usinisahau kunipa mwaliko. Nna uhaba mkubwa sana. Sijai hata kwa kiganja
 
Siku mkienda tena kwenye vikao vya kugawiwa miili ( nyama) usinisahau kunipa mwaliko. Nna uhaba mkubwa sana. Sijai hata kwa kiganja
[emoji23][emoji23][emoji23],
Baki tu na hizo hizo kiduchu, me mwenyewe nazikataa wewe unazitaka za nini zinaleta mapresha na uvivu.
 
Kitunguu kina siri kubwa kwenye pishi lolote.. Hunogesha na kuleta ladha fulani very amazing

Jr[emoji769]
Mchuzi au pilau au kachumbari inoge lazima vitunguu viwe vingi hasa.
Huwa nawashangaa wanaopikia kitunguu nusu au kimoja ukitoa sababu za kiuchumi.
Hasa mchuzi wa nyama yoyote ili unoge vitunguu vingi.
 
Hilo nalitambua, nimeamua tu kufanya masihara kufurahisha watu tuongeze siku za kuishi.

Lakini tukiweka utani pembeni kitunguu ni dawa hasa ukikitafuna kibichi. Tatizo harufu mdomoni, tena usiombe utafune kitunguu swaumu.
Nilienda India na mgonjwa.
Hotel za kule kabla msosi haujaja unaletewa bakuli la vitunguu vibichi mtafune.
Ni kama starter wakati wa kusubiri main meal.
 

Huu wali kuna mtu wangu wa karibu ndiyo wali wake, mtamu sana!

Tatizo umenikataa, nikiula lazima niharishe sana na kuumwa tumbo! Nimejaribu mara kadhaa hali ni hiyo hiyo, sijui kwa nini hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…