Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Huyo utabishana nae tu kwa vile wale ile kitu ya kujipata ila tangu uhuru hao wanafaulu mpaka wanakuwa maprofessor hamna jipya...Anataka kuleta mjadala hapa ila siri zinajulikana kuanza kuchuja wanafunzi tena wako radhi wafanye mtihani wachache wale wanaofeli wanawafukuza.Kuna kufeli na kufelishwa. Kwa taasisi kubwa kama hiyo inayoshika hatima ya maisha ya mtu human errors lazima ziepukwe.
Tume ilithibitisha makosa ya kibinadamu. Ndalichako alistahili kuondoka.
Adriz adrizzzz adriz imekugusa mulele mule mnachojuwa ni kukariri kiarabu broken.Umepost ujinga
Necta wanatumia namba majina wanakuja kuweka mwishoniHuyo utabishana nae tu kwa vile wale ile kitu ya kujipata ila tangu uhuru hao wanafaulu mpaka wanakuwa maprofessor hamna jipya...Anataka kuleta mjadala hapa ila siri zinajulikana kuanza kuchuja wanafunzi tena wako radhi wafanye mtihani wachache wale wanaofeli wanawafukuza.
Umeelewa lakini?Necta wanatumia namba majina wanakuja kuweka mwishoni
Kwani imeanza leo 😅...Maana najua watu wakubwa ,watu maarufa haswa wanamichezo ,fani kibao wanatokea upande gani ..Ndio wamshika nchi.Adriz adrizzzz adriz imekugusa mulele mule mnachojuwa ni kukariri kiarabu broken.
Accumen Mo inamankusweke
Wenyeji wa pwani bana wabishi kama mini.Kuna kufeli na kufelishwa. Kwa taasisi kubwa kama hiyo inayoshika hatima ya maisha ya mtu human errors lazima ziepukwe.
Tume ilithibitisha makosa ya kibinadamu. Ndalichako alistahili kuondoka.
Wewe Mgelasi acha kuwarushia mawe Wataliban eboo!Adriz adrizzzz adriz imekugusa mulele mule mnachojuwa ni kukariri kiarabu broken.
Accumen Mo inamankusweke
Acheni hizi story aisee,Kuna miaka waliandamana ati Dr Ndalichako alikuwa anaharibu matokeo ya vijana wao wenye dini. Sasa hivi yupo mtu wa upande wao lakini hali ni ileile.
Ni muda muafaka tuanze kutafuta suluhisho sahihi nje ya mihemko ya imani.
View attachment 2883506View attachment 2883509
Nilichobainu hapo ni kuwa una chuki kubwa Kwa kuwekwa asiyekuwa wenuKuna miaka waliandamana ati Dr Ndalichako alikuwa anaharibu matokeo ya vijana wao wenye dini. Sasa hivi yupo mtu wa upande wao lakini hali ni ileile.
Ni muda muafaka tuanze kutafuta suluhisho sahihi nje ya mihemko ya imani.
View attachment 2883506View attachment 2883509
Winter vipi huko ughaibuni!?Adriz adrizzzz adriz imekugusa mulele mule mnachojuwa ni kukariri kiarabu broken.
Accumen Mo inamankusweke