Walibya wadai Biashara Utd walihongwa ili wasisafiri

Walibya wadai Biashara Utd walihongwa ili wasisafiri

Ndio maana nimekwambia kuwa wewe ulikuja Mjini kwa fuso la ng'ombe kutoka Kolomije,sasa hii ya kusema eti nimekuja pm ndio unajiona wewe mjanja kabisa sio? Pole yako sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
choko la kikikuyu mwana utopwinyo mwenzako kitenge kasha tweet hii habari kama nilivyoileta kule tweeter Its a pity hata hujui twitter ni nini kutwa uko hapa kumtukana mO dewji kwa kutumaia freebasics, choko mchafu
 
kila siku yeye ni mO Mo nimeleta hii habari naona naye maulid kitenge kaipost twitter kule source ni NUHU adams anakuambia libya watu wansema biashara imehongwa jitu linaanza kumtukana Mo na matusi ya kizamani ya kuitana shoga
Gays wanaotafuta wanaume wamo pia humu,hilo nalo ni mojawapo.
 
Hii habari kwa sasa ina circulate vya kutosha katika ulimwengu wa michezo Afrika

Screen Shot 2021-10-25 at 22.53.53.png
 
choko la kikikuyu mwana utopwinyo mwenzako kitenge kasha tweet hii habari kama nilivyoileta kule tweeter Its a pity hata hujui twitter ni nini kutwa uko hapa kumtukana mO dewji kwa kutumaia freebasics, choko mchafu
Naona huko kwa mpalange bado kunanyevuanyevua,maliza kufua boksa za Mwamedi kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona huko kwa mpalange bado kunanyevuanyevua,maliza kufua boksa za Mwamedi kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
jilegeze ndugu kuwa teketeke mabasha wengi hawapendi gangta bottoms gays, hutapata basha la kihindi kama ulivyokuja inbox kuniomba nikutafutie ingawa najua deep in your heart unatamani sana mo dewji akugonge
 
jilegeze ndugu kuwa teketeke mabasha wengi hawapendi gangta bottoms gays, hutapata basha la kihindi kama ulivyokuja inbox kuniomba nikutafutie ingawa najua deep in your heart unatamani sana mo dewji akugonge
Nimekwambia leta hapa ushahidi kuwa Biashara wameuza match unapuyangapuyanga tuu na tweets zako za kuokoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini Usimba na Uyanga wa huko Libya ndio umetengeneza hayo maneno.

Al Ittihad Tripoli vs Al Ahly Tripoli.

1)Biashara ilisafiri kwenda Djibouti kwa kuchechemea, Djibouti ni karibu ikasafiri siku ya mechi.

2)Ittihad Tripoli walisafiri kwa "ndege ya raisi" kwenda Zanzibar clabu bingwa dhidi ya KMKM Baada ya kuteseka kupata vibali vya kuruka angani.

3)Alifika siku ya mechi Jumamosi,akaomba mechi owe Jpili,akakubaliwa ikachezwa Jpili.

4)Biashara anaenda Libya vs mpinzani wa Ittihad aitwaye Al Ahly Tripoli ,naye Biashara kapata matatizo ya kusafiri. Leo useme Biashara kahongwa asisafiri. Nitakuwa wa mwisho kuamini.
 
Mleta mada umezidi chumvi.
habari zinaongelewa huko libya ndugu yangu chumvi gani sasa hawa viongozi wa biashara wanadai walinunua ticket za commercial airlines ikashindikana watoe ushahidi huo kwamba walifanya hivyo

wamekuja kuombewa msaada na waziri mkuu alhamisi siku ya tuzo bado siku 2 game ichezwe wangesema week moja kabla si wangekopeshwa hata hela ya mafuta na ndege wapewe na serikali hata kama ndege ingezungukia misri badala ya sudan

Utajuaje labda watu wa Tripoli wanayajua mengi kuliko sisi kwenye hili suala?
 
Mimi naamini Usimba na Uyanga wa huko Libya ndio umetengeneza hayo maneno.

Al Ittihad Tripoli vs Al Ahly Tripoli.

1)Biashara ilisafiri kwenda Djibouti kwa kuchechemea, Djibouti ni karibu ikasafiri siku ya mechi.

2)Ittihad Tripoli walisafiri kwa "ndege ya raisi" kwenda Zanzibar clabu bingwa dhidi ya KMKM Baada ya kuteseka kupata vibali vya kuruka angani.

3)Alifika siku ya mechi Jumamosi,akaomba mechi owe Jpili,akakubaliwa ikachezwa Jpili.

4)Biashara anaenda Libya vs mpinzani wa Ittihad aitwaye Al Ahly Tripoli ,naye Biashara kapata matatizo ya kusafiri. Leo useme Biashara kahongwa asisafiri. Nitakuwa wa mwisho kuamini.
Huwezi ukaomba Caf waahirishe mechi siku moja kabla....hawa jamaa walikua na 5 days nzima za kuomba msaada serikaini something is fishy hapa
 
habari zinaongelewa huko libya ndugu yangu chumvi gani sasa hawa viongozi wa biashara wanadai walinunua ticket za commercial airlines ikashindikana watoe ushahidi huo kwamba walifanya hivyo

wamekuja kuombewa msaada na waziri mkuu alhamisi siku ya tuzo bado siku 2 game ichezwe wangesema week moja kabla si wangekopeshwa hata hela ya mafuta na ndege wapewe na serikali hata kama ndege ingezungukia misri badala ya sudan

Utajuaje labda watu wa Tripoli wanayajua mengi kuliko sisi kwenye hili suala?
biashara walikuwa wanaongoza 2-0.
Katika hali ya kawaida wasingeweza kukubali kununuliwa.sababu wakiingia makundi kuna hela nyingi wangepata.
Hao walibya wana hela gani?.
point yako ni BATILI.
 
biashara walikuwa wanaongoza 2-0.
Katika hali ya kawaida wasingeweza kukubali kununuliwa.sababu wakiingia makundi kuna hela nyingi wangepata.
Hao walibya wana hela gani?.
point yako ni BATILI.
unajua maana ya kupost habari hapa kwa kunukuu chanzo? unajua viongozi wa kifarika walivyo wewe??hela kama hizo si ziliwahi kuleta mzozo yanga watu wakakopa kabisa wakijua mda wao utaisha na hela zinachelewa?
Unajua zinachukua mda gani kabla CAf hawajaingiza kwenye account?hiyo milioni 600 si inaingia account ya klabu?
What if watu wawili watatu wakaona hapa kuna 50 milion tugawane sisi ?

Kwani tuhuma za usaliti simba ni kwamba hawapewagi bonus au mshahara wakishinda games za CAf si baadhi ya watu wanaona bora tuchukue nyingi sisi wachache?

nani alikuwa na uhakika kwamba biashara asingepigwa goals tatu huko libya?

**MWISHO NASISITIZA TENA MIMI SIJASEMA KWAMBA BIASHARA VIONGOZI WALIUZA HAYA NI MANENO YALIYOKO HUKO LIBYA NA HAKUAN CHA KUSHANGAZA HAPO KWA JINSI MPIRA WA AFRICA, ULAYA MASHARIKI NA SOUTH AMERICA ULIVYO
 
unajua maana ya kupost habari hapa kwa kunukuu chanzo? unajua viongozi wa kifarika walivyo wewe??hela kama hizo si ziliwahi kuleta mzozo yanga watu wakakopa kabisa wakijua mda wao utaisha na hela zinachelewa?
Unajua zinachukua mda gani kabla CAf hawajaingiza kwenye account?hiyo milioni 600 si inaingia account ya klabu?
What if watu wawili watatu wakaona hapa kuna 50 milion tugawane sisi ?

Kwani tuhuma za usaliti simba ni kwamba hawapewagi bonus au mshahara wakishinda games za CAf si baadhi ya watu wanaona bora tuchukue nyingi sisi wachache?

nani alikuwa na uhakika kwamba biashara asingepigwa goals tatu huko libya?

**MWISHO NASISITIZA TENA MIMI SIJASEMA KWAMBA BIASHARA VIONGOZI WALIUZA HAYA NI MANENO YALIYOKO HUKO LIBYA NA HAKUAN CHA KUSHANGAZA HAPO KWA JINSI MPIRA WA AFRICA, ULAYA MASHARIKI NA SOUTH AMERICA ULIVYO
Yaani uache milioni za CAF uchukue hizo ndogo za walibya?.
hayaa
 
Yaani uache milioni za CAF uchukue hizo ndogo za walibya?.
hayaa
Mr MJINGA MIMI embu nielewe CHANZO CHA HII POST YANGU ni tweet ya Nuhu adams kwamba huko libya talk of the town ni kwamba biashara waliuza mechi

Sasa narudi kwenye swali lako, team ikiingia group stages inaingiza milioni 600 na hapo walikuwa wanaingia round of 32 siyo group stage walikuwa bado na mechi moja

Akatokea mtu akwapa watu wa 4 wenye maamuzi kwenye klabu milioni 100 wasisafiri unadhani nini kitatokea?

Wakatae kuchukua milioni 25 kila mmmoja au wasubiri 600 za CAf ziingie klabuni kila mtu hadi wachezaji wanazitolea macho na zianze kulipa mdeni ya nyuma?

nani asiyejua kwamba hizo hela zikishaningiaga majungu yanaanzaga kwenye klabu hizi?unakumbuka hela ya makundi yanga mwaka 2016,unakumbuka ule uongozi ulifanya kitu gani walipojua wanakaribia kuondoka?
 
Mr MJINGA MIMI embu nielewe CHANZO CHA HII POST YANGU ni tweet ya Nuhu adams kwamba huko libya talk of the town ni kwamba biashara waliuza mechi

Sasa narudi kwenye swali lako, team ikiingia group stages inaingiza milioni 600 na hapo walikuwa wanaingia round of 32 siyo group stage walikuwa bado na mechi moja

Akatokea mtu akwapa watu wa 4 wenye maamuzi kwenye klabu milioni 100 wasisafiri unadhani nini kitatokea?

Wakatae kuchukua milioni 25 kila mmmoja au wasubiri 600 za CAf ziingie klabuni kila mtu hadi wachezaji wanazitolea macho na zianze kulipa mdeni ya nyuma?

nani asiyejua kwamba hizo hela zikishaningiaga majungu yanaanzaga kwenye klabu hizi?unakumbuka hela ya makundi yanga mwaka 2016,unakumbuka ule uongozi ulifanya kitu gani walipojua wanakaribia kuondoka?
Shida walikuwa wanaongoza 2-0.
Bora Kama wangekuwa wamefungwa huku dar tungesema hawana cha kupoteza.
Lakini wanaongoza 2-0?.
hapo NI ngumu kuamini.
 
Shida walikuwa wanaongoza 2-0.
Bora Kama wangekuwa wamefungwa huku dar tungesema hawana cha kupoteza.
Lakini wanaongoza 2-0?.
hapo NI ngumu kuamini.
Na ndiyo maana maneno yamekuwa mengi huko Libya...hata wa sudan walikataa kwenda kenya kucheza marudiano na Gor mahia baada ya kupigwa 3-1 mechi ya nyumbani ila hamna mtu anayeongelea issue yao sababu hii ya biashara utd is very strange
 
Back
Top Bottom