braza bonge
Member
- Jul 13, 2018
- 99
- 124
naona hizi ni story za kihuni tu kwenye vijiwe! hazina haja ya kujadiliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Wamehongwa viongozi ili wakwamishe timu kusafiri.Kama wangehongwa si wangeenda wakacheze hovyo ili watolewe, hizi story tu za mitandaoni
Nikuhakikishie tu kwamba wewe ni wa ovyo tu na Mods wasipokuchukulia hatua kwa upuuzi wako baada ya Simba kufungwa tutawashangaa. Kazi imekuwa kuzusha tu mara hili mara lile utafikiri unachangia chochote kwenye soka.Laiti haya mambo yangekuwaga na uchunguzi wa kina tungegunduaga mambo ya ajabu sana , sasa the talk of the town huko libya ni kwamba Biashara utd ilihongwa pesa nyingi sana ili watafute kisingizio kwa namna yoyote ile wasifike libya na kupoteza mechi.
KUANZIA MECHI YA SIMBA NA YA WALIBYA KUNA WATU KAMA VYOMBO VYA SERIKALI VIKIAMUA KUANGALIA MOVEMENTS YA PESA KWENYE ACCOUNTS,SIMU AU KU-TAP(KU TREPU) SIMU ZAO WATASHANGAA SANA SIYO KWA VIONGOZI HADI WACHEZAJI WALIOHUSIKA JANA NA WALE KINA MURA WA MUSOMA
View attachment 1986699
Kunywa.maji upumzike chanzo ni nuhu adams mghana shida imepostiwa in english na wewe ni ngumbaruNikuhakikishie tu kwamba wewe ni wa ovyo tu na Mods wasipokuchukulia hatua kwa upuuzi wako baada ya Simba kufungwa tutawashangaa. Kazi imekuwa kuzusha tu mara hili mara lile utafikiri unachangia chochote kwenye soka.
Zinaongelewa libya na nani?.kwani uko libya unadhani hakuna watu wenye mawazo mafupi kama uku bongo.wewe mwenyewe inaonekana unaamini sana porojo.Mechi huwa hainunuliwi kijinga hivyo.sidhani kama hao walibya wenye timu ni wajinga kiasi hicho.Kilichotokea ni uzembe wetu kama watanzania kupitia viongozi wa biashara,chama cha soka mkoa wa mara,Tff pamoja na wizara ya michezo.Kila mmoja angefwatilia hili swala biashara isingeshindwa kwenda libya ila kwasababu haikwenda kwasababu za uzembe kila mjinga anaweza kuongea lake.zinaongelewa libya huko siyo huku, hongo ya aina hiyo inaishiaga kwa viongozi ukisema team iende hivyohivyo na wachezaji hawajui si wanaweza kwenda kujituma? hongo ya wachezaji ni kama yale maduka ya simba jana yalivyokuwa yanaachia magoli especially goal la pili
Mamilioni ya cuf kupata ni issue hasa kwa timu mbovu kama biasharaYaani uache milioni za CAF uchukue hizo ndogo za walibya?.
hayaa
Na utopolo wamepewa milioni ngapi?ili watoleweMamilioni ya cuf kupata ni issue hasa kwa timu mbovu kama biashara
hao wapumbavu hata makundi hawatayaona enyimba itawapasua vipandeviapnde ,nawaonea huruma wachezaji wazuri walionaoZinaongelewa libya na nani?.kwani uko libya unadhani hakuna watu wenye mawazo mafupi kama uku bongo.wewe mwenyewe inaonekana unaamini sana porojo.Mechi huwa hainunuliwi kijinga hivyo.sidhani kama hao walibya wenye timu ni wajinga kiasi hicho.Kilichotokea ni uzembe wetu kama watanzania kupitia viongozi wa biashara,chama cha soka mkoa wa mara,Tff pamoja na wizara ya michezo.Kila mmoja angefwatilia hili swala biashara isingeshindwa kwenda libya ila kwasababu haikwenda kwasababu za uzembe kila mjinga anaweza kuongea lake.
Oya acheni upimbi hii sio forum ya matusiHahahaha kweli kondomu 3 kutumika ndani ya dakika 45 si mchezo. Huyo Bwabwa mwenzako kila mara anavyoanzishaga Nyuzi za kichoko kuhusu Yanga na GSM alijua tutamkalia kimya?
Sent using Jamii Forums mobile app
ali namudu huyo mkikuyu nikiwazidi wanaanza kulia kwa mods nipigwe banOya acheni upimbi hii sio forum ya matusi
hahaaaahahaaaaaaaaaTimu yenyewe inaitwa Biashara we unazani watakataa hela[emoji16]