Walibya wadai Biashara Utd walihongwa ili wasisafiri

Walibya wadai Biashara Utd walihongwa ili wasisafiri

Laiti haya mambo yangekuwaga na uchunguzi wa kina tungegunduaga mambo ya ajabu sana , sasa the talk of the town huko libya ni kwamba Biashara utd ilihongwa pesa nyingi sana ili watafute kisingizio kwa namna yoyote ile wasifike libya na kupoteza mechi.

KUANZIA MECHI YA SIMBA NA YA WALIBYA KUNA WATU KAMA VYOMBO VYA SERIKALI VIKIAMUA KUANGALIA MOVEMENTS YA PESA KWENYE ACCOUNTS,SIMU AU KU-TAP(KU TREPU) SIMU ZAO WATASHANGAA SANA SIYO KWA VIONGOZI HADI WACHEZAJI WALIOHUSIKA JANA NA WALE KINA MURA WA MUSOMA

View attachment 1986699
Nikuhakikishie tu kwamba wewe ni wa ovyo tu na Mods wasipokuchukulia hatua kwa upuuzi wako baada ya Simba kufungwa tutawashangaa. Kazi imekuwa kuzusha tu mara hili mara lile utafikiri unachangia chochote kwenye soka.
 
Nikuhakikishie tu kwamba wewe ni wa ovyo tu na Mods wasipokuchukulia hatua kwa upuuzi wako baada ya Simba kufungwa tutawashangaa. Kazi imekuwa kuzusha tu mara hili mara lile utafikiri unachangia chochote kwenye soka.
Kunywa.maji upumzike chanzo ni nuhu adams mghana shida imepostiwa in english na wewe ni ngumbaru
 
zinaongelewa libya huko siyo huku, hongo ya aina hiyo inaishiaga kwa viongozi ukisema team iende hivyohivyo na wachezaji hawajui si wanaweza kwenda kujituma? hongo ya wachezaji ni kama yale maduka ya simba jana yalivyokuwa yanaachia magoli especially goal la pili
Zinaongelewa libya na nani?.kwani uko libya unadhani hakuna watu wenye mawazo mafupi kama uku bongo.wewe mwenyewe inaonekana unaamini sana porojo.Mechi huwa hainunuliwi kijinga hivyo.sidhani kama hao walibya wenye timu ni wajinga kiasi hicho.Kilichotokea ni uzembe wetu kama watanzania kupitia viongozi wa biashara,chama cha soka mkoa wa mara,Tff pamoja na wizara ya michezo.Kila mmoja angefwatilia hili swala biashara isingeshindwa kwenda libya ila kwasababu haikwenda kwasababu za uzembe kila mjinga anaweza kuongea lake.
 
Hakuna kitu Kama hicho hata ukiangalia bado maamuzi ya mechi hayajatolewa, ndio maana katika kupanga ratiba biashara na timu ya Libya wamewekwa pamoja yaani mahindi Kati yao.
Caf pia wanaleta ugumu, nchi ipo kwenye Vita halafu unalazimisha timu ziende
 
Zinaongelewa libya na nani?.kwani uko libya unadhani hakuna watu wenye mawazo mafupi kama uku bongo.wewe mwenyewe inaonekana unaamini sana porojo.Mechi huwa hainunuliwi kijinga hivyo.sidhani kama hao walibya wenye timu ni wajinga kiasi hicho.Kilichotokea ni uzembe wetu kama watanzania kupitia viongozi wa biashara,chama cha soka mkoa wa mara,Tff pamoja na wizara ya michezo.Kila mmoja angefwatilia hili swala biashara isingeshindwa kwenda libya ila kwasababu haikwenda kwasababu za uzembe kila mjinga anaweza kuongea lake.
hao wapumbavu hata makundi hawatayaona enyimba itawapasua vipandeviapnde ,nawaonea huruma wachezaji wazuri walionao
 
Back
Top Bottom