Walichomfanyia jamaa yangu. Anatokwa na machozi kila anapokumbuka

Walichomfanyia jamaa yangu. Anatokwa na machozi kila anapokumbuka

Kama huna pesa,achana na chemchemu za maji! Kule Kunduchi mtongani, karibu na kanisa la KKKT Mtongani,kwa juu upande wa kulia,ukiwa unaangalia kusini! Waliojenga maeneo yale,hua wanapata shida sana,unaweza kua umekaa sebuleni,unashangaa maji yanatiririka!
Ukiijulia chemichemi unajenga kisima na kupump maji juu, hutaingia gharama za maji ya Dawasa. Inabidi ujue mwanzo na uipange ramani yako.
 
Haya mambo yanatokea sana , sio uongo

Fukara hatunzi namba ya simu kwa taarifa yako, akipoteza simu haangaiki na kurenew ananunua simu mpya na namba mpya, ndo kinachotokea kwa mafundi wengi wa ujenzi . Kuna uezekano mafundi wote alowatumia wana namba mpya.
Inashauriwa kuwa makini sana unapodeal na watu ambao hawana cha kupoteza ,
Kitaalam plamber ni mtu mwingine na fundi kujenga ni mwingine sasa hapo ilikuaje fundi huyo huyo mmoja afanye yote hayo huyo jamaa pia hajasoma km ni hvyo
 
Haya mambo yanatokea sana , sio uongo

Fukara hatunzi namba ya simu kwa taarifa yako, akipoteza simu haangaiki na kurenew ananunua simu mpya na namba mpya, ndo kinachotokea kwa mafundi wengi wa ujenzi . Kuna uezekano mafundi wote alowatumia wana namba mpya.
Inashauriwa kuwa makini sana unapodeal na watu ambao hawana cha kupoteza ,
Kuna uwezekano&@#@,

Pia kuna kusikowezekana
 
Jamaa yangu tupo naye kazini kitambo sana. Si haba vijicent vipo. Shida kubwa ya jamaa ni ubabe na unyanyasaji sababu ya vijicent.

HuWa namwambia asiwe na lugha za kibabe, dharau na unyanyasaji kwa watu wa kipato cha chini. Haelewi.

Anajenga nyumba. Ashafukuza sana mafundi bila kuwalipa na matusi mengi akitishia kuwaweka ndani n.k ni jambo la kawaida kumsikia akiwaambia umaskini wenu na kukosa akili ndo kumewafanya mchague hii kazi.

Basi amejenga nyumba yake akiwalalia sana mafundi ...sana yaani kumbe nao wanajua pa kumlalia.

Leo tumeenda akakague mifumo ya maji baada ya kuunganishwa mabomba...aiseee.... Alikuwa kila akifungua bomba maji yanatokea ukutani...kumbe katika hali ya kumkomoa mafundi walikuwa wanaweka mabomba hawafikishi mwisho.

Kwa hiyo ameenda kufungua maji kwenye koki kuu...kuingia ndani anakuta kuta zinatiririsha maji tu...

Hivyo anapaswa abomoe afunge mabomba upya...Kuta zinatiririsha maji ile mbaya. Mimi kwenda gusa zaidi zile kuta aisee ....hazifai.

Yaani ukipata muda ukaanza ukuna au tekenya ukuta mchanga unamiminika chini hadi ukuta unatoboka....

Ile nyumba ina maeneo ukikaa tu kama upo idle kwa kidole tu anza kufanya kama unaukuna ukuta au fanya kama una utekenya...ukuta unacheka kinyama....

Mafundi haijulikani wanakaa wapi ila nao wameshalipiza wameondoka zao.ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma.
Huyo jamaa pesa zake njaa tu. Watu wenye pesa hawana tabia hizo.
 
Kuna bwana mmoja alipenda kiwanja cha kwenye corner, kile kiwanja kilikua bonde la mpunga. Alinunua kwa pesa nyingi, wakati mafundi wanachimba msingi walikua wanavua pelege. Kumbe chini kuna chemi chemi.

Aliweka kifusi kingi sana cha mchanga na alijenga msingi wa nondo na zege. Maji ya chemi chemi yaliendelea kutafuta njia taratibu. Sasa hivi kuta zake zote zina unyevu nyevu na zinatoa fungus.
Viwanja vimekuwa Adimu kiasi hicho mpaka mtu anajenga kwenye Majaruba??🤣🤣🤣
 
Haya mambo yanatokea sana , sio uongo

Fukara hatunzi namba ya simu kwa taarifa yako, akipoteza simu haangaiki na kurenew ananunua simu mpya na namba mpya, ndo kinachotokea kwa mafundi wengi wa ujenzi . Kuna uezekano mafundi wote alowatumia wana namba mpya.
Inashauriwa kuwa makini sana unapodeal na watu ambao hawana cha kupoteza ,
😅😅😅😅
 
Jamaa yangu tupo naye kazini kitambo sana. Si haba vijicent vipo. Shida kubwa ya jamaa ni ubabe na unyanyasaji sababu ya vijicent.

HuWa namwambia asiwe na lugha za kibabe, dharau na unyanyasaji kwa watu wa kipato cha chini. Haelewi.

Anajenga nyumba. Ashafukuza sana mafundi bila kuwalipa na matusi mengi akitishia kuwaweka ndani n.k ni jambo la kawaida kumsikia akiwaambia umaskini wenu na kukosa akili ndo kumewafanya mchague hii kazi.

Basi amejenga nyumba yake akiwalalia sana mafundi ...sana yaani kumbe nao wanajua pa kumlalia.

Leo tumeenda akakague mifumo ya maji baada ya kuunganishwa mabomba...aiseee.... Alikuwa kila akifungua bomba maji yanatokea ukutani...kumbe katika hali ya kumkomoa mafundi walikuwa wanaweka mabomba hawafikishi mwisho.

Kwa hiyo ameenda kufungua maji kwenye koki kuu...kuingia ndani anakuta kuta zinatiririsha maji tu...

Hivyo anapaswa abomoe afunge mabomba upya...Kuta zinatiririsha maji ile mbaya. Mimi kwenda gusa zaidi zile kuta aisee ....hazifai.

Yaani ukipata muda ukaanza ukuna au tekenya ukuta mchanga unamiminika chini hadi ukuta unatoboka....

Ile nyumba ina maeneo ukikaa tu kama upo idle kwa kidole tu anza kufanya kama unaukuna ukuta au fanya kama una utekenya...ukuta unacheka kinyama....

Mafundi haijulikani wanakaa wapi ila nao wameshalipiza wameondoka zao.ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma.

Mimi huwa sipendi kuona watu wenye wanaonyanyasa masikini, unakuta mwanamke kisa ana ajira kamuajiri hosuegal basi anamtesa yule binti unakuta binti hana raha anaona dunia imejaa manyanyaso inamfika hasiraa anakuja kufanya mambo ya kujutia anaua hata mtoto wa boss wake ukiafuatilia kisa unakuta ameshapitia manyanyaso sana, ogopa sana mtu anaenyanyasa masikini au watu wenye vipato vidogo huyo sio binadamu wa kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kawaida sana...boss mjuaji au mwenye dharau unamkomoa tu...tena wamempendelea sana...
 
Mimi huwa sipendi kuona watu wenye wanaonyanyasa masikini, unakuta mwanamke kisa ana ajira kamuajiri hosuegal basi anamtesa yule binti unakuta binti hana raha anaona dunia imejaa manyanyaso inamfika hasiraa anakuja kufanya mambo ya kujutia anaua hata mtoto wa boss wake ukiafuatilia kisa unakuta ameshapitia manyanyaso sana, ogopa sana mtu anaenyanyasa masikini au watu wenye vipato vidogo huyo sio binadamu wa kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anayeyanysasa maskini naye ni Maskini tu.
 
Back
Top Bottom