Walichomfanyia jamaa yangu. Anatokwa na machozi kila anapokumbuka

Duuh Kisa wanataka kukaa ushuani?
 
Anatokwa na machozi atakua anaigiza
 

Safi sana...
 
Kitaalam plamber ni mtu mwingine na fundi kujenga ni mwingine sasa hapo ilikuaje fundi huyo huyo mmoja afanye yote hayo huyo jamaa pia hajasoma km ni hvyo
Hivi hawa mafundi wenyewe huwa hawafanyi kile ambacho huwa kinachitwa na vijana wa kisasa "kolabo"
 
Mnawadharau sana mafundi ujenzi, mnasahau kuwa ukiacha madaktari mafundi ujenzi ndio watu mhimu sana ktk future zenu.
Kweli kabisa.

Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, ni wadau wa ujenzi wa kisasa, tuna kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ujenzi za kisasa na tunahitaji mafundi ujenzi, kuanzia wa kiwandani kwenye uzalishaji mpaka kwenye ufundi wenyewe. Tunahitaji mafundi wa viwango tofauti, kuanzia wanaotaka kujifundisha ujenzi mpaka wale wazoefu wa kusimamia kazi. Tupo very strict kwa ubora. Kama unapenda kufanya kazi na watu wenye kujali ubora wa kazi za ufundi, nidhamu za kazi za ufundi na mwenye kujali miiko ya kazi za ufundi na sio uwingi wa kazi basi wasiliana nasi.

Pia tupo tayari kuongea na vikundi au makampuni na madalali wa mafundi ujenzi namna ya kushirikiana.

Kwa maelezo zaidi fika tuonane ana kwa ana au tuma whatsapp 0625249605. Tupo, Mtaa wa Vitendo, Kata ya Misugusugu, Kibaha, Pwani. Tanzania.
 
Hivi hawa mafundi wenyewe huwa hawafanyi kile ambacho huwa kinachitwa na vijana wa kisasa "kolabo"
Kama unamnyanyasa fundi mwashi utashindwaje kumpelekesha plumber? Wote wanakuona Foo tu na wakiform alliance wanakuangamiza na hela yako wanaila.

Siku zote fanya kazi na watu ukiwa unawathamini. We all got families to feed! Sasa ukijifanya mjuaji sana ndio balaa litakapoanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…