Walichopata madaktari baada ya mgomo

Walichopata madaktari baada ya mgomo

Najua umenimiss baba Kaa chini i entertain ur comments


Na hawa Je, ni lini Raisi Uhuru Kenya atawakumbuka?

(School children camp at Nyimbei primary school in Baringo South, Kenya)


1512321.jpg
 
Safi sana serikali ya KE huu ni usikivu unaopaswa kuigwa.

Lakini nna shaka huu uamuzi wa ghafla umetoka kwa mlengo wa maslahi fulani ya kisiasa na hasa ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi.
Usikivu watu wameteseka miezi mitatu
 
1st That is just low...

2ndly Kiyawi is Tanzanian so Umejipa own goal ya kijinga

3rdly Tanzanians make up the Third Largest Foreign fighters in alshabaab; Chekeni chekeni Kenya but Keep in Mind US defence ministry has submited to their Congress on deploying close to 1000 SF in Somalia those same Tanzanian alshabaab agents will return to Tanzania sooner or later

Hapo ndipo utajua kuwa Kutroll wakenya juu ya terror ni Low !!

If that is low then despising someone because of language is lower.

Tz'ian are not quick to point out someone's nationality, that trophy goes to you.

Us being third largest comes as no surprise this isn't the first Tanzanian soldiers were deployed in other countries for p.k mission.

Trolling Kenyans juu ya terror ni low? Go ask miss Kenya if plagiarism is higher
 
Hongereni wa Kenya. Mwisho wa siku hakuna aliyetolewa kucha. Kila la heri mnaposogea hatua kwenye uchumi wa kati.

Watanzania tujifunze. Nchi haiwezi kuendelea kama wanaoneemeka ni wanasiasa tu.
Hawajatolewa kucha lakini wengi wamezikwa...... kuna wengine wamezika wake zao, watoto zao, wajawazito wao, waume zao, bibi zao, babu zao... orodha ni ndefu.
Pia kuna madawa mengi ambayo yaliandikwa best before march 2017 na sasa hayafai kutumika
Nani atafidia hasara hiyo??

Au ni kama kawaida yetu ya kushindwa ku establish course and effect relationship...... then living in post hoc fallacy
 
Kijana daktari anayetokea chuo bila ujuzi (medical intern) atakua anapiga mpunga wa kitita cha Kshs 196,244 (Tshs 4,513,612)

Daktari Kenya anayeanza taaluma, yaani entry level ya job group N (mid-level medical officer) mshahara wake umepanda kutoka Ksh 146,190 (Tshs 3,362,370) hadi Kshs 241,524 (Tshs 5,555,052) hii ni pamoja na mafao mengine saba.
Wale specialist mishahara yao imepanda hadi Kshs 442,060 (Tshs 10,167,380) pamoja na mafao lukuki.

Hongera zao, ila ingekua bora maafikiano kama haya yanatekelezwa bila maafa kwa Wakenya, wengi tumeteseka kisa pande zote mbili hakuna aliyekua tayari kushuka. Natumai na kuomba wana taaluma zingine wasiingie kwenye migomo na pawe na jinsi ya kuwarekebishia maana tukiendelea hivi, sitashangaa kuwaona wanajeshi wetu nao wamegoma japo hawaruhusiwi.

INFO.jpg

Death, pain: Cost of hospital strikes
Kwa ng'ombe wa nyumbani kwetu huyu watapata vilema na wengine kupotea vile alivyo na roho mbaya.
Sio kwa enzi ya Magufuli, tena yule hawawezi kumjaribu maana alishasema asijaribiwe. Wathubutu kugoma goma huko Tanzania ndio watajua pushups alizokua anafanya wakati wa kampeni zilikua na umuhimu fulani.
 
Safi sana serikali ya KE huu ni usikivu unaopaswa kuigwa.

Lakini nna shaka huu uamuzi wa ghafla umetoka kwa mlengo wa maslahi fulani ya kisiasa na hasa ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi.
Yote khali ni bora watu wapate huduma
 
Kijana daktari anayetokea chuo bila ujuzi (medical intern) atakua anapiga mpunga wa kitita cha Kshs 196,244 (Tshs 4,513,612)

Daktari Kenya anayeanza taaluma, yaani entry level ya job group N (mid-level medical officer) mshahara wake umepanda kutoka Ksh 146,190 (Tshs 3,362,370) hadi Kshs 241,524 (Tshs 5,555,052) hii ni pamoja na mafao mengine saba.
Wale specialist mishahara yao imepanda hadi Kshs 442,060 (Tshs 10,167,380) pamoja na mafao lukuki.

Hongera zao, ila ingekua bora maafikiano kama haya yanatekelezwa bila maafa kwa Wakenya, wengi tumeteseka kisa pande zote mbili hakuna aliyekua tayari kushuka. Natumai na kuomba wana taaluma zingine wasiingie kwenye migomo na pawe na jinsi ya kuwarekebishia maana tukiendelea hivi, sitashangaa kuwaona wanajeshi wetu nao wamegoma japo hawaruhusiwi.

INFO.jpg

Death, pain: Cost of hospital strikes
Waalimu wa Kenya nao kuna kipindi waligoma, je waalimu wenye shahada wao wanalipwaje?
 
MK254
you are obsessed with material thing... what the doctors will earn but not on the fatalities caused by boycotting.

See the title of your daily nation and a briefing on the misfortune.

Doctors' strike is over! But the pain, deaths and costs will be felt for many years.

WEDNESDAY MARCH 15 2017
  • Patients. with cancer, expecting mothers, the terminally ill, the poor and vulnerable and those in emergency care have paid an atrocious price.
  • In December, Ms Tabitha Bitali had also been turned away from Moi Teaching and Referral Hospital, where she was scheduled to undergo a goitre operation.
  • Some patients were turned away from public hospitals while others were abandoned in the facilities as doctors stayed away from their duty stations.
 
hujui nyamaza unafikiri kazi ya usalama ni kuzuia wa Jaluo wasishinde urais pekee
Depay
 
Tanzania bana, eti tunawapa wakenya madaktati 500, wakati kuna hospital kibao hazina hata nurse. pia kenya wamesha maliza mgomo , mwafaka umesha patikana. utaisikia kesho msigwa kasimamishwa kwa kutoa taarifa za uongo
 
Sio kwa enzi ya Magufuli, tena yule hawawezi kumjaribu maana alishasema asijaribiwe. Wathubutu kugoma goma huko Tanzania ndio watajua pushups alizokua anafanya wakati wa kampeni zilikua na umuhimu fulani.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kijana daktari anayetokea chuo bila ujuzi (medical intern) atakua anapiga mpunga wa kitita cha Kshs 196,244 (Tshs 4,513,612)

Daktari Kenya anayeanza taaluma, yaani entry level ya job group N (mid-level medical officer) mshahara wake umepanda kutoka Ksh 146,190 (Tshs 3,362,370) hadi Kshs 241,524 (Tshs 5,555,052) hii ni pamoja na mafao mengine saba.
Wale specialist mishahara yao imepanda hadi Kshs 442,060 (Tshs 10,167,380) pamoja na mafao lukuki.

Hongera zao, ila ingekua bora maafikiano kama haya yanatekelezwa bila maafa kwa Wakenya, wengi tumeteseka kisa pande zote mbili hakuna aliyekua tayari kushuka. Natumai na kuomba wana taaluma zingine wasiingie kwenye migomo na pawe na jinsi ya kuwarekebishia maana tukiendelea hivi, sitashangaa kuwaona wanajeshi wetu nao wamegoma japo hawaruhusiwi.

INFO.jpg

Death, pain: Cost of hospital strikes
Amani haiji mpaka ncha ya upanga
 
Kenya wana Uchumi mkubwa hivyo wanaweza labda kulipa, lkn pia wasiwasahau wengine wanaokufa njaa kwa kukosa hela ya chakula kwa kuwa tu hawana lobby wa kuwapigania mpaka wakumbukwe na donors ktk nje!
Halafu vp kuhusu Wauguzi (nurses) Mishahara yao imepanda kwa kiasi gani kwa maana umeonyesha ya Madakrari tu ningependa kujua pia!
[/QUOTE]
Hatimaye akili zimekurudi , naona leo umechangia vyema kwa kutumia kichwa. Keep it up
BTW Wakenya wako mbali sana kuliko sisi, na ni watu wanaojitambua. Hawawekwi makwapani na watawala a.k.a wanasiasa.
Laiti kama watu kama Barbarosa wangejitambua na kuacha kulamba viatu vya watawala tungekuwa mbali sana.
 
Back
Top Bottom