Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
What tha ffffAma kwa hakika awamu hii inasikitisha mno ! Kulikuwa kuna juhudi zilizofanyika ili game ya Simba vs Nkana ichezwe jumamosi au jumatatu ili kuwapa nafasi watanzania wengi kuhudhuria mapokezi ya ndege mpya , hata hivyo juhudi zao ziligonga mwamba baada ya jambo hili kuwa nje ya uwezo wa TFF.
Kama walitaka hivyo kwanini wasingeahirisha mapokezi ya ndege ?
matokeo ya mechi au matokeo ya mapokezi ya ndege ?Haya tupe matokeo sasa
Mkuu matokeo ya mechimatokeo ya mechi au matokeo ya mapokezi ya ndege ?
Ndege ilikua ya kufika jana ila ilishinda kutua moja kwa moja JNIA, elitua accra Ghana, asubhi ikaanza safari za Dar ndo nimefika leo wali over rate uwezo wake wa masaa ya kukaa anganiAma kwa hakika awamu hii inasikitisha mno ! Kulikuwa kuna juhudi zilizofanyika ili game ya Simba vs Nkana ichezwe jumamosi au jumatatu ili kuwapa nafasi watanzania wengi kuhudhuria mapokezi ya ndege mpya , hata hivyo juhudi zao ziligonga mwamba baada ya jambo hili kuwa nje ya uwezo wa TFF.
Kama walitaka hivyo kwanini wasingeahirisha mapokezi ya ndege ?
unataka ulisikie kutoka wapi ?tupe uzibitisho kwahilo jambo ndotunalisikia kwako
mnyama kaua na kapenyaVipi matokeo ya Simba na Nkana
Naona unajitetea mkuuunataka ulisikie kutoka wapi ?
Wewe nae ili mradi tu uandike.. Mnatujazia saver bana. Mi nimekimbia kufungua nikazani walitaka isichezwe ili Nkana apewe point za bure? Kumbe ilikuwa ni uzalendo tu ili watu wengi wahudhulie.. Ona sasa mtu kama bashite hakuweza kwenda.. N.KAma kwa hakika awamu hii inasikitisha mno ! Kulikuwa kuna juhudi zilizofanyika ili game ya Simba vs Nkana ichezwe jumamosi au jumatatu ili kuwapa nafasi watanzania wengi kuhudhuria mapokezi ya ndege mpya , hata hivyo juhudi zao ziligonga mwamba baada ya jambo hili kuwa nje ya uwezo wa TFF.
Kama walitaka hivyo kwanini wasingeahirisha mapokezi ya ndege , hivi hapa ndio tulipofikia kweli ?
mubarikiwe sanaNilikuwa sehemu dar mamia tunaangalia match huku mapokezi ya ndege wanaangaliwa na watu wawili akiwemo mmoja aliyewahi kuwa dc na mgombea ubunge kupitia ccm iringa
Simba 3 - 1 Nkana Red DevilsMkuu matokeo ya mechi