Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Haina jinsi mpaka serikali iweke utaratibu wa kuwa kila rais ajaye aendeleze vya rais aliyetoka. America wamefanya hivyo ndio maana wana maendeleo.
Sis kila rais anaekuja anakuja na lake. Tulikuwa hatuna vipaombele vya kueleweka.
Sis kila rais anaekuja anakuja na lake. Tulikuwa hatuna vipaombele vya kueleweka.
Ni kung'ang'ana mpaka kieleweke na akiondoka na kila mradi aliouanzisha utaenda ndivyo inavyotengenezwa abaki ba hakuna jinsi wacha tuone