Walimu, haswa wa vijijini, tutapewa lini motisha kwa kupandisha kiwango cha ufaulu? Mbona Taifa Stars wanamwagiwa mahela kila leo?

Walimu, haswa wa vijijini, tutapewa lini motisha kwa kupandisha kiwango cha ufaulu? Mbona Taifa Stars wanamwagiwa mahela kila leo?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Kwa miaka kadhaa Sasa ufaulu unaongezeka tu; darasa la nne, la saba, kidato Cha pili, kidato Cha nne Hadi kidato Cha sita ni mwendo wa kufurahia ongezeko tu la ufaulu.

Watu wanapiga kazi mpaka shule za serikali Sasa kukuta div I 200, kama Lindi sec, ni jambo la kawaida.

Ajabu ni kuwa hakuna lolote linalohusiana na motisha kwa walimu kimyaaa. Ongezeko hili la ufaulu linakuja kwa jasho kubwa la walimu ikiwemo kufanya kazi siku ya jumamosi na muda wa ziada (Hadi saa 12).

Lakini hata husikii, "Kwa Kila 'A' Kuna tshs. ..." Au "Kwa Kila daraja I Kuna tsh. ...".

Wenzetu Taifa Stars Kila siku ni ahadi za motisha mara Kila goli tshs. 5,000,000/= n.k. Jana ndo imetia fora; shilingi milioni 700 zimeshatolewa Huku akaunti ya kuchangia ikiwekwa wazi kwa Kila mmoja kuchangi

Mpaka Sasa si ajabu Kuna bilioni point something. Yaani wachezaji mpaka Sasa wana uhakika wa 50m Kila mmoja (pesa anayopata mwalimu anapostaafu kwa Sasa (kwa mujibu wa kikokotoo)).

WHYY?
 
Kipindi cha uchaguzi.
Mtatumika tu kuiba kura msijali.
Mtapewa laki 1 ya semina na laki 1 ya siku ya kuiba kura na maonyo juu.


Walimu na polisi mnatumia sana katika hujuma za CCM. Tofauti yeni ni kwamba walimu mnatumika kwenye kuiba kura wengine wanalinda wezi. Kubambikia kesi na kuzuia democracy.
 
Kwa miaka kadhaa Sasa ufaulu unaongezeka tu; darasa la nne, la saba, kidato Cha pili, kidato Cha nne Hadi kidato Cha sita ni mwendo wa kufurahia ongezeko tu la ufaulu.

Watu wanapiga kazi mpaka shule za serikali Sasa kukuta div I 200, kama Lindi sec, ni jambo la kawaida.

Ajabu ni kuwa hakuna lolote linalohusiana na motisha kwa walimu kimyaaa. Ongezeko hili la ufaulu linakuja kwa jasho kubwa la walimu ikiwemo kufanya kazi siku ya jumamosi na muda wa ziada (Hadi saa 12).

Lakini hata husikii, "Kwa Kila 'A' Kuna tshs. ..." Au "Kwa Kila daraja I Kuna tsh. ...".

Wenzetu Taifa Stars Kila siku ni ahadi za motisha mara Kila goli tshs. 5,000,000/= n.k. Jana ndo imetia fora; shilingi milioni 700 zimeshatolewa Huku akaunti ya kuchangia ikiwekwa wazi kwa Kila mmoja kuchangi

Mpaka Sasa si ajabu Kuna bilioni point something. Yaani wachezaji mpaka Sasa wana uhakika wa 50m Kila mmoja (pesa anayopata mwalimu anapostaafu kwa Sasa (kwa mujibu wa kikokotoo).

WHYY?
Hili la walimu wa vijijini kufaulisha ninakuunga mkono na kwa hilo walimu mnastahili kupewa shime.

'Utamaduni' huo umeenea hadi shule za mjini sasa wanaita 'kupiga kambi'.

Walimu wetu wanastahili kuongezewa maslahi ya kuvutia na kuwapa ari ya kuwahamasisha ili waendelee kufundisha watoto wetu kwa morali.

Kwa nini angalau wasilipwe 'over time'
kwa masaa ya ziada wanayokomaa na watoto wetu madarasani, muda ambao walistahili kula bata na kupumzika na familia zao?

Kwa hili la motisha kwa walimu naliunga mkono, Wizara ya elimu na Serikali kwa ujumla mkalitazame hili.
 
Kwa miaka kadhaa Sasa ufaulu unaongezeka tu; darasa la nne, la saba, kidato Cha pili, kidato Cha nne Hadi kidato Cha sita ni mwendo wa kufurahia ongezeko tu la ufaulu.

Watu wanapiga kazi mpaka shule za serikali Sasa kukuta div I 200, kama Lindi sec, ni jambo la kawaida.

Ajabu ni kuwa hakuna lolote linalohusiana na motisha kwa walimu kimyaaa. Ongezeko hili la ufaulu linakuja kwa jasho kubwa la walimu ikiwemo kufanya kazi siku ya jumamosi na muda wa ziada (Hadi saa 12).

Lakini hata husikii, "Kwa Kila 'A' Kuna tshs. ..." Au "Kwa Kila daraja I Kuna tsh. ...".

Wenzetu Taifa Stars Kila siku ni ahadi za motisha mara Kila goli tshs. 5,000,000/= n.k. Jana ndo imetia fora; shilingi milioni 700 zimeshatolewa Huku akaunti ya kuchangia ikiwekwa wazi kwa Kila mmoja kuchangi

Mpaka Sasa si ajabu Kuna bilioni point something. Yaani wachezaji mpaka Sasa wana uhakika wa 50m Kila mmoja (pesa anayopata mwalimu anapostaafu kwa Sasa (kwa mujibu wa kikokotoo)).

WHYY?
Walimu Mngeacha sasa kutumika kuiba kura mnadhurumu haki za watu halafu mnataka mtendewe vyema
 
Wenzenu wanapewa baada ya matokeo, haya tuonyesheni matokeo yenu
 
Mateso kulala na kikojozi haki ya nani unalala unanusa mikojo tu mpaka kunakucha nje ya mada
 
Kwa miaka kadhaa Sasa ufaulu unaongezeka tu; darasa la nne, la saba, kidato Cha pili, kidato Cha nne Hadi kidato Cha sita ni mwendo wa kufurahia ongezeko tu la ufaulu.

Watu wanapiga kazi mpaka shule za serikali Sasa kukuta div I 200, kama Lindi sec, ni jambo la kawaida.

Ajabu ni kuwa hakuna lolote linalohusiana na motisha kwa walimu kimyaaa. Ongezeko hili la ufaulu linakuja kwa jasho kubwa la walimu ikiwemo kufanya kazi siku ya jumamosi na muda wa ziada (Hadi saa 12).

Lakini hata husikii, "Kwa Kila 'A' Kuna tshs. ..." Au "Kwa Kila daraja I Kuna tsh. ...".

Wenzetu Taifa Stars Kila siku ni ahadi za motisha mara Kila goli tshs. 5,000,000/= n.k. Jana ndo imetia fora; shilingi milioni 700 zimeshatolewa Huku akaunti ya kuchangia ikiwekwa wazi kwa Kila mmoja kuchangi

Mpaka Sasa si ajabu Kuna bilioni point something. Yaani wachezaji mpaka Sasa wana uhakika wa 50m Kila mmoja (pesa anayopata mwalimu anapostaafu kwa Sasa (kwa mujibu wa kikokotoo)).

WHYY?
In short watoto na wajukuu zao hawasomi kwenu
 
Nyinyi endelezeni uchawa wenu tu,....mutafikiriwa📌🔨
 
Kwa miaka kadhaa Sasa ufaulu unaongezeka tu; darasa la nne, la saba, kidato Cha pili, kidato Cha nne Hadi kidato Cha sita ni mwendo wa kufurahia ongezeko tu la ufaulu.

Watu wanapiga kazi mpaka shule za serikali Sasa kukuta div I 200, kama Lindi sec, ni jambo la kawaida.

Ajabu ni kuwa hakuna lolote linalohusiana na motisha kwa walimu kimyaaa. Ongezeko hili la ufaulu linakuja kwa jasho kubwa la walimu ikiwemo kufanya kazi siku ya jumamosi na muda wa ziada (Hadi saa 12).

Lakini hata husikii, "Kwa Kila 'A' Kuna tshs. ..." Au "Kwa Kila daraja I Kuna tsh. ...".

Wenzetu Taifa Stars Kila siku ni ahadi za motisha mara Kila goli tshs. 5,000,000/= n.k. Jana ndo imetia fora; shilingi milioni 700 zimeshatolewa Huku akaunti ya kuchangia ikiwekwa wazi kwa Kila mmoja kuchangi

Mpaka Sasa si ajabu Kuna bilioni point something. Yaani wachezaji mpaka Sasa wana uhakika wa 50m Kila mmoja (pesa anayopata mwalimu anapostaafu kwa Sasa (kwa mujibu wa kikokotoo)).

WHYY?
Walimu si ni machawa takataka, mnajisahau, mnakuwa machawa takataka
 
Hahahaha Akili zinaanza kuwarudia na ikifika uchaguzi mnatumika wenyewe kuwapitisha, sijui mnalalamika nini, yaani waalimu na mapolisi ni janga la kitaifa mna mishahara midogo ila ndio mnatumika na wanasiasa kwa asilimia zote
 
Thamani ya mwalimu kwa Tanzania ni kama chupi za mafungu, thamani yake inaonekana wakati wa kufanikisha wizi wa kura
 
Nyumbu hamja wahi kuwa na akili timamu kichwani.Mtakula mliko peleka mboga.

Bure kabisa waalimu wa nchi.
 
Back
Top Bottom