Tetesi: Walimu kupandishwa madaraja mwisho wa mwezi huu

Tetesi: Walimu kupandishwa madaraja mwisho wa mwezi huu

OC-CID

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
200
Reaction score
463
Kuna tetesi kuwa serikali iko mbioni kuwapandisha madaraja walimu walioajiriwa miaka ya 2014 na 2015 ambao walikutana na mkono wa chuma wa JPM.

Kama ni kweli, naona kabisa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi 2025.
 
Usidanganywe na mtu!!

Kwa Bajeti gani mkuu!!?iliyopitishwa na Bungee lipi!!?

Kama we ni mwalimu jikite kwenye vitega uchumi vyako usije ukawa disapointed kama ile asilimia 23 ya mchongo ile!!
Acha kupinga, waraka ninao umesema walimu husika wapandishe, swala la kupanda madaraja liko kisheria, halihusiani na bajeti. Hujui kuwa mwezi wa tano watu walipanda madaraja, waweza niambia ni bajeti gani ilitumika kuwapandisha watu hao.

Hakika mama anaupiga mwingi, kura za watumishi wote hasa walimu lazima azibebe zote. JPM kabana sana watu, mama ni mwingi wa huruma, Mungu amjalie heri na baraka tele.
 
Subiri uojne shubiri tarehe za mshahara si ndio hizo hapo mbele subiri!
Acha kupinga,waraka ninao umesema walimu husika wapandishe,swala la kupanda madaraja liko kisheria halihusiani na bajeti,hujui kuwa mwezi wa tano watu walipanda madaraja,waweza niambia ni bajeti gani ilitumika kuwapandisha watu hao.

Hakika mama anaupiga mwingi,kura za watumishi wote hasa walimu lazima azibebe zote.jpm kabana sana watu,mama ni mwingi wa huruma,Mungu amjalie heri na baraka tele
 
Kuna tetesi kuwa serikali iko mbioni kuwapandisha madaraja walimu walioajiriwa miaka ya 2014 na 2015 ambao walikutana na mkono wa chuma wa JPM.

Kama ni kweli, naona kabisa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi 2025.
Upuuzi tu na umaskini wa walimu. Mtu miaka 9 au 8 kapanda daraja mara moja tu wakati alistahili kupanda daraja mara mbili.

Hapa sio jambo la kisiasa bali ni haki yao.
 
Siasa za mishahara Ya walimu na maslahi Yao ni ugonjwa sugu kwa taifa hili!!

Ni KADA ambayo hata wanasiasa wenyewe wanaidharau Sana kwa sababu kama taifa tuliamua ualimu ndio iwe kazi inayodharaulika zaidi na wao wawe punda wa kuibeba serikali inapokuwa katika presha ya matokeo makubwa kwa wananchi!!

Ni kundi ambalo limekosa wenye nia ya dhati wa kutatua kero zao huku wakigawanywa na kunyonywa kimfumo kupitia chama Cha walimu!!

Naelewa sana KADA hii kwa kina na sibahatishi!

Walimu ni dekio la serikali kufanya lolote wanaotaka hadi pale atakapoingia mwenye nia ya dhati wa kurekebisha dhana hii potofu iliyolelewa na taifa LETU hili!!!

Hakuna tetesi ya kuaminika ya maslahi ya walimu hadi pale maslahi yanaposoma kwenye akaunti!!

Niishie hapo mkuu!!
Inaonekana unaumia sana,na pengine hujui utaratibu wa upandaji madarja,kwanini usikae kimya mkuu
 
Walimu wengi ni wajinga sn wanaishi kwa matumaini muda wote
Walimu hajawahi kuwa wajinga mkuu!Bali ubongo finyu wa wengi ndio wanashindwa kujua akili zao zinvyo operate!!

Mwalimu ni psychologist anaetatua matatizo yake within cognitive ability yaani anapata majibu ya maswali yake akilini mwake mwenyewe na kuendelza na safari yake Ya maisha toka kwa majaaliwa ya nature inavyompatia mahitaji yake ya msingi!!

Amejifunza wafanya maamuzi wa nchi hii hawapo upande wao kabisa Bali wanajali matumbo Yao tu,hivyo ameelekeza nguvu na nia thabiti kwenye asili na kile kidogo alichonacho kupata kilichobora zaidi na ndio maana wanaishi maisha marefu sana Hawa jamaa hata baada ya kustaafu kuliko KADA Nyingine yeyote ile!!!

Hivyo tu
 
Acha kupinga,waraka ninao umesema walimu husika wapandishe,swala la kupanda madaraja liko kisheria halihusiani na bajeti,hujui kuwa mwezi wa tano watu walipanda madaraja,waweza niambia ni bajeti gani ilitumika kuwapandisha watu hao.

Hakika mama anaupiga mwingi,kura za watumishi wote hasa walimu lazima azibebe zote.jpm kabana sana watu,mama ni mwingi wa huruma,Mungu amjalie heri na baraka tele
Sio kwamba anapinga kama suala la kupanda madaraja lipo kisheria mlimfanya nini JIWE alipogoma kuwapandisha madaraja?
 
Upuuzi tu na umaskini wa walimu. Mtu miaka 9 au 8 kapanda daraja mara moja tu wakati alistahili kupanda daraja mara mbili.

Hapa sio jambo la kisiasa bali ni haki yao.
Tatizo sio umaskini na upuuzi wa walimu Bali ni dola iliamua KULINDA wanasiasa wanaovunja sheria na kukanyaga katiba !

Hivyo mwalimu hawezi tafuta Bunduki apambane na dola Ili kumpindua kiongozi anaesigina haki zao,Bali ni dola ndio inajukumu la kuchukua hatua pale haki za watu zinapovunjwa kwa kumtoa kiongozi madarakani kivyovyote vile!

Tuna dola inayochekelea WANASIASA wanaovunja sheria na haki za watu,hatujui ni kwanini labda kama Kuna maslahi wanapata toka kwa viongozi hao waovu!!!

Mwalimu asilaumiwe Kazi yake ni kutoa ujinga kwa vijana na anafanya vyema tangu uhuru!!
 
Tatizo sio umaskini na upuuzi wa walimu Bali ni dola iliamua KULINDA wanasiasa wanaovunja sheria na kukanyaga katiba !

Hivyo mwalimu hawezi tafuta Bunduki apambane na dola Ili kumpindua kiongozi anaesigina haki zao,Bali ni dola ndio inajukumu la kuchukua hatua pale haki za watu zinapovunjwa kwa kumtoa kiongozi madarakani kivyovyote vile!

Tuna dola inayochekelea WANASIASA wanaovunja sheria na haki za watu,hatujui ni kwanini labda kama Kuna maslahi wanapata toka kwa viongozi hao waovu!!!

Mwalimu ailauiwe Kai yake ni kutoa ujinga kwa vijana na anafanya vyema tangu uhuru!!
Umenena vyema.
 
Upuuzi tu na umaskini wa walimu. Mtu miaka 9 au 8 kapanda daraja mara moja tu wakati alistahili kupanda daraja mara mbili.

Hapa sio jambo la kisiasa bali ni haki yao.
Tatizo sio umaskini na upuuzi wa walimu Bali ni dola iliamua KULINDA wanasiasa wanaovunja sheria na kukanyaga katiba !

Hivyo mwalimu hawezi tafuta Bunduki apambane na dola Ili kumpindua kiongozi anaesigina haki zao,Bali ni dola ndio inajukumu la kuchukua hatua pale haki za watu zinapovunjwa kwa kumtoa kiongozi madarakani kivyovyote vile!

Tuna dola inayochekelea WANASIASA wanaovunja sheria na haki za watu,hatujui ni kwanini labda kama Kuna maslahi wanapata toka kwa viongozi hao waovu!!!

Mwalimu asilaumiwe Kazi yake ni kutoa ujinga kwa vijana na anafanya vyema tangu uhuru!!
 
Back
Top Bottom