Njoo Ngara - kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Tanga
Morogoro
Pwani
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Njoo Ngara - kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Tanga
Morogoro
Pwani
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Njoo Ngara - kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Tanga
Morogoro
Pwani
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Nnjoo kasulu mji nije sengerema au busega idara s/msingi no.0714267840 na 0785226668
 
Njooo mbinga nije mbeya, chunya , songwe, mbozi ,tukuyu, chimala idara secondary 0685731241
 
mimi mwalimu HAMISI ABDURHAMANI HAMISI wa shule ya msingi MWANG'ANGA iliyo po katika halmashauri ya mji NANYAMBA.natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka halmashauri ya newala mji au vijijini.
atakayekuwa tayari tuwasiliane kuptiia

  • 0692734470
  • 0717117013
ahsante
 
Njoo Halmashauri ya Geita nije moja kati ya mikoa/wilaya zifuatazo;

Dodoma Municipal
Morogoro Municipal
Kibaha
Bagamoyo
Korogwe Mji/DC
Tanga Jiji
Dar es Salaam.

Idara-Sekondari.
Mawasiliano: 0788560737
 
nyie vipiiii? Uhamisho umepigwa ban.
Walimu mnajidhalilisha nyinyi mamaaaaake,kuna manesi wanadai hiyo kitu au kada nyingine mmeshaziona ziki haha ivo,CWT inawakata pesa inawaacha mnahaha tuu,mchawi wa Mwl ni mwl ,vumilieni
 
Nimekaa nikatafakari kwa makini kwanini sipati wa kubadilishana nae aje lindi mimi nirudi nyumbani arusha.nilichogundua ni kwamba Lindi hakuna wasomiiiiiii yaani walioajiriwa serikalini sio wengiiii.
 
Nenda Morogoro kilombero wife aje Kasulu mji. Idara sec 0755289029
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…