Ndo kwanza wamesitisha hadi uhamisho wa ndani kuna kaka yangu alikuwa yupo kwenye process za mwisho alikuwa anatoka wilayani kuhamia manispaa eti wanasema wamepokea barua ya kusitisha uhamisho hata wa ndani
Kuna Ndugu yangu anaitwa Daniel mushi idara ya msingi anataka kubadishana kituo aje moshi vijijini uje lushoto alipo kuna umeme maji na Huduma zote muhimu wasiliana nae kwa 0655372268 au 0765866766
Mbona Mimi nimeulizia halmashauri kwangu wameniambia Uhamisho wa kubadilishana upo kama kawaida ila ule wa mkato yaan kutumia hela ,cheti cha ndoa hakuna kwa sasa