ally ndunda
Member
- Jun 2, 2013
- 23
- 3
Maisha ya Dar sasa hivi sio rafiki kwa mtumishiWenzako wanapatamani mjini ww unapakimbia!
Msingi au secondaryHabari zenu walimu.....kwa anaetaka kwenda Tanga halmashauri ya Pangani mjini ana PM but awe anatoka Dodoma
Njoo Tabora( V), Nije Katavi Wilaya Yoyote
0786-145922
0767-145922
Njoo newala nije magunjoo MAGU mjini idara ya elimu ya msingi, mimi nije kibaha, mkuranga ,bagamoyo au morogoro. 0682 279435
Njoo newala mtwara chap kidogonjoomwanz sengerema nije kilimanjaro moshi morogoro dodoma gailo misungwi magu au dar idara ya msingi
Njoo newala mtwaraHabari ndg zang anayetaka kubadilishana njoo Mwanza nije morogoro manispaa au mvomero, pwani kama kibaha au mkuranga nichek kwa # 0753959295, 0654360550 idara msingi
Duh !!!!
[emoji6] [emoji6] [emoji6]Kuna mada maalum ya hili la uhamisho wa walimu itafute itakufaa