Mimi ni mwalimu niko mkoa wa Arusha wilaya ya monduli. Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae yeye aje mko wa Arusha mimi niende mkoa wa Kilimanjaro Wilaya yoyote.
We upo hapo monduli tu unataka kuhama kwenda kilimanjaro
 
Nina miaka 9 kazini, nina tsd no, nimedhibitishwa kazini, nipo kagera, karagwe, nataka mtu wa kubadli nae kituo cha kazi singida manispaa, anaetaka kuhamia karagwe mjini, kagera.
 
Mhhhh ndugu suala la uhamisho mbona kwa sasa limekuwa gumu sana kiasi cha kwamba hata watu wakubadilishana nao ni shidaaaa sana
 
Mwalimu idara msingi nipo BUMBULI-TANGA zamani LUSHOTO natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kutoka Halmashauri ya GAIRO aliyetayari tuwasiliane
0624026681 au 0767007916
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…