Karibu sana wilaya Lushoto Tanga nije

1. Korogwe
2. Hai Kilimajaro
3. Same
4. Mwanga
5. Moshi v
6. Rombo
7. Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353
 
Njoo IRINGA ( Shule kongwe. .Ifunda Technical Secondary School); nami nije Mwanza jiji, tanga jiji, morogoro mjini, Dar, kibaha mji, dodoma mjini. Idara ya secondary.
 
Mwalimu njoo Kagera, Missenyi.
Bunazi Sec, shule iliopo Missenyi mjini.

Nije kati ya

*Kilosa
*Lindi manispaa
*Kibaha Mji
*Mkuranga
*Bagamoyo
*Chalinze
*Dar es Salaam
*Morogoro Manispaa
*Dodoma manispaa
*Singida manispaa
*Tabora manispaa
*Shinyanga manispaa
*Kahama mji
*Mwanza jiji
*Tanga jiji
*Korogwe mji
*Mtwara manispaa
*Masasi mji

[HASHTAG]#Secondari[/HASHTAG].
[HASHTAG]#Sayansi[/HASHTAG].
0765905301 & 0713131682
 
Unataka nami ninyolewe (mavumba) yangu hapana mkuu pambana na hali yako na wasukuma wako.
 
Unataka nami ninyolewe (mavumba) yangu hapana mkuu pambana na hali yako na wasukuma wako.
Mkuu huku hakuna wasukuma. Huku kuna wahaya walioelimika zamani sana. Elimu na mambo ya kishirikina na maji na moto. Uchawi tuwaachie akina Ngosha.
 
We unataka mijini tu.... unawezaona dodoma nipazur ila ukipangiwa kata za pembezon unaweza ona ni bora urudi ulipokuwa
 
We unataka mijini tu.... unawezaona dodoma nipazur ila ukipangiwa kata za pembezon unaweza ona ni bora urudi ulipokuwa
 
Mwalimu Damas Jackson natafuta MWL wa kubadilisha nae kituo .Aje Busega Simiyu mimi nije Babati, Tanga(wilaya yoyote) No:0768746977 elimu msingi
 
Karibu sana wilaya Lushoto Tanga nije

1. Korogwe
2. Hai Kilimajaro
3. Same
4. Mwanga
5. Moshi v
6. Rombo
7. Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…