Tumaini_mosha
Member
- Jan 21, 2014
- 20
- 0
Wakuja Lushoto mjini mimi nije huko bagamoyo, kibaha au dsm..... Idara ya sekondari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Moro manspaaMwalimu sekondari aliye tayari kubadilishana kitu cha kazi aje shinyanga mjini( manispaa) nije mkoa Kilimanjaro halimashauri ya wilaya ya same ( vijijini) tuwasiliane .
Tuwasiliane tuyajenge mkuu kama vipi nije Moro Kilimanjaro ntafika tuu taratibuNjoo Moro manspaa
Tuwasiliane tuyajenge mkuu kama vipi nije Moro Kilimanjaro ntafika tuu taratibu
[/QUOT
NdioUpo manspaa ya shinyanga
Mm ninaomba kuuliza jamani ivi kwa sasa hata ukipata wa kubadirishana nae serikakali watakubalia uhame maana mm nimempata ila naambiwa na mkurugenzi wangu kuwa uhamisho umezuiliwa.... Naomba msaada waaana forumTafadhali ndugu walimu kuna mdogo wangu amemaliza form 4 mwaka jana, ni mda mrefu hatujawasiliana lakini leo kanambia amesikia kuwa kachaguliwa chuo cha uwalim moshi, tafadhali mwenye mwongozo wa selection za uwalim ngazi ya cheti anipe a,b,c maana kanambia niserch ili ajue kapangwa wapi,
Kama yupo wa idara ya msingi aje mwanza mie nije tabora tuwasiliane0692779698mimi mwalimu wa sekondari nipo TABORA MANISPAA...kama kuna mtu yupo dodoma manispaa, morogoro manispaa au kibaha anataka kuhamia tabora mjini niPM.............
Njoo Mwanza nije tabora manicioalWewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums